Fundi anayetengeneza baiskeli kwa uaminifu (2)
Kabla ya kujitosa kwenye ushonaji wa viatu, Bupe aliwahi kujikita zaidi kwenye ajira ya ufundi baiskeli katika eneo la Machimbo, Jet-Lumo iliyopo Gongo la Mboto ikiwa ni sehemu ya kujiimarisha zaidi kiuchumi baada ya kuyumba kwa shughuli zake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo19 Nov
KWA NINI UAMINIFU UMEPUNGUA?
![](http://api.ning.com/files/7JAc5CeHqZ2xps6rULFRYgPyTHdgszWv6fHnr-Djm2ZwIUzQjOPxy7Ew7*IREfFkt1UUzBF34QkUPbhXkQ2Flx2Z-SaBVIGF/couplehavingfight.jpg?width=650)
HABARI zenu wadau wa safu hii. Tumekutana tena kujadiliana mambo yetu ya kikubwa wakati huu mwaka unapokatika. Wengine wanafunga hesabu kwa faida na wengine wanajikusanyia madeni.
Maisha ya kimapenzi kila siku yana mapya, wanandoa wanaweza kukaa mwezi mzima bila kuzungumza, lakini siku moja isiyo na jina wanajikuta wanapendana upya na kupiga stori kana kwamba hakuna kilichotokea jana yake.
Siku hizi kutoka nje ya ndoa tumekupa jina jipya, tunasema amechepuka badala ya kubaki njia kuu. Juzijuzi...
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Dubai inatisha kwa uaminifu
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Punda watuzwa kwa uaminifu na bidii
10 years ago
Habarileo22 Feb
Serikali yashutumu ukiukaji wa viapo vya uaminifu kwa taifa
SERIKALI imesema madai ya baadhi ya vijana waliohitimu katika Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuruhusiwa kujiunga na vikundi vya majeshi ya nchi jirani yanayopigana ni kukosa uzalendo na uaminifu kwa taifa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-81VrDrDOHvY/XrP-miQblSI/AAAAAAALpZo/e7lC98-1X7Issgf3Qsj32CbzcDqQ6AV3ACLcBGAsYHQ/s72-c/630.jpg)
SMZ YASIKITISHWA NA BAADHI YA WATENDAJI ARDHI KWA KUKOSA UAMINIFU
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inasikitishwa na tabia ya baadhi ya Watendaji wa Taasisi zinazosimamia masuala ya Ardhi Nchini kuendelea kutokuwa waaminifu katika utekelezaji wa majukumu yao kitendo ambacho huongeza migogoro ndani ya Jamii Nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitoa masikitiko hayo wakati akijibu Hoja za Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kufuatia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake aliyoiwasilisha katika Kikao cha Bajeti cha...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Fundi afa kwa shoti ya umeme
FUNDI magari, Mohamed Athuman (52), mkazi wa maeneo ya Wandengereko, Mtoni-Mtongani, Dar es Salaam, amefariki dunia juzi kutokana na hitilafu ya umeme katika waya wa chaji ya simu. Kamanda wa...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Aendesha baiskeli kwa mguu mmoja
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mlemavu apanda mlima Kilimanjaro kwa baiskeli
MLEMAVU Eiju Murakanil, (65), raia wa Japan amefanikiwa kufika kituo cha Gilmas Mlima Kilimanjaro urefu wa mita 5,685 kutoka usawa wa bahari kikiwa ni kituo kimoja kutoka kileleni akitumia kiti...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mtanzania anayetesa Afrika Kusini kwa kuendesha baiskeli