MWILI WA MAREHEMU DKT. ABDALAH KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dkt. Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti.
Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda, ukihamishiwa kwenye...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMWILI WA MAREHEMU DK KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGWA MWILI WA MAREHEMU DKT. KIGODA KARIMJEE DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Om9ReL4utVg/Vh9e9vZT7zI/AAAAAAAIABM/6WI-SQH_Tn8/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lbcyLNat5q8/Vh9e9reA_UI/AAAAAAAIABE/UV-1qhAab-E/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0TgNQ23mXB4/Vh9e-dY-GiI/AAAAAAAIABU/2Zq8upR0UpY/s640/04.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-78BAPcbJjdY/Vh9e_3N2p_I/AAAAAAAIABw/7GZpUFoFbF4/s640/07.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Dk. Magufuli ashiriki kuupokea mwili wa marehemu Dk. Kigoda Dar
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dk Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG)
Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s72-c/s1.jpg)
RAIS KIKWETE AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA MAREHEMU DKT WILLIAM SHIJA LEO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_i1ghNbU8xM/VDpavLrUQTI/AAAAAAAGpfU/Q4dSsHFhhjo/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Kg735QKSYo/VDpaw82f0_I/AAAAAAAGpfc/Cau2ahdQNZg/s1600/s2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CrCtxSMl_L0/VDqPGQpDPnI/AAAAAAAGpjo/uEqGwm-qJEA/s1600/s3.jpg)
10 years ago
MichuziMWILI WA MAREHEMU MZEE SAMWELI NTAMBALA LWANGISA WAPOKELEWA BUKOBA, MAJONZI YATANDA KWA WANABUKOBA.
Mwili wa Marehemu Samuel Ntambala Luangisa uliwasili usiku wa kumkia leo katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Mauti yalimkuta akiwa Nchini Marekani na maziko yake itakuwa kesho jumatano june 3,2015. Wakati wa Uhai wake Marehe Samwel Luangisa aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kagera (ukiitwa ziwa magharibi), Aliwahi pia kuwa mbunge wa Bukoba Mjini, Meya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0g5w-O1aW1E/Vh-sf0XJb1I/AAAAAAAAbOU/PnmktKL0-r4/s72-c/1%2B%25283%2529.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU MABITI, DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-0g5w-O1aW1E/Vh-sf0XJb1I/AAAAAAAAbOU/PnmktKL0-r4/s640/1%2B%25283%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--vE2m46vsBk/Vh-sq3tHeNI/AAAAAAAAbOc/Kw5GwS38-yM/s640/2%2B%252810%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bfJYlnzAAJ0/Vh-sr9kJSYI/AAAAAAAAbOk/26LJcLHAroA/s640/2B.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Feb
Makamu wa Rais Dkt. Bilal ashiriki kuaga mwili wa mama mzazi wa Dkt. Edward Hosea, Jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kwenye Kitabu cha maombolezo ya marehemu Esther Gigwa, Mama mzazi wa Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru, Dkt. Edward Hosea, wakati alipofika kushiriki kuaga mwili huo nyumbani kwa mkurugenzi huyo, Masaki jijini Dar es Salaam, leo Feb 27, 2015. (Picha na OMR).
Wanafamilia wafiwa wakiwa katika shughuli hiyo ya maziko.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji,...
10 years ago
Michuzi16 Oct
Mwili wa Marehemu Amin Elias Mbaga Waagwa jijini Dar
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0301.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0306.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0410.jpg)
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0419.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-uKYwu38wIiY/VVCxKXEopVI/AAAAAAADmr4/uYqvnJlCJV0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-uKYwu38wIiY/VVCxKXEopVI/AAAAAAADmr4/uYqvnJlCJV0/s640/01.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9EoA8oSPZK4/VVCxKNZirwI/AAAAAAADmr0/ow1Wgwy2LUs/s640/02...jpg)