Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWILI WA MAREHEMU MZEE SAMWELI NTAMBALA LWANGISA WAPOKELEWA BUKOBA, MAJONZI YATANDA KWA WANABUKOBA.

Gari maalum kutoka Nchini Uganda lililobeba Mwili wa Mzee Samwel Ntambala Lwangisa ukiingia Bukoba. Na Faustine Ruta, Bukoba
Mwili wa Marehemu Samuel Ntambala Luangisa uliwasili usiku wa kumkia leo katika Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Mauti yalimkuta akiwa Nchini Marekani na maziko yake itakuwa kesho jumatano june 3,2015. Wakati wa Uhai wake Marehe Samwel Luangisa aliwahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa kwanza wa Mkoa wa Kagera (ukiitwa ziwa magharibi), Aliwahi pia kuwa mbunge wa Bukoba Mjini, Meya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MHE. SAMWELI NTAMBALA LWANGISA AZIKWA MJINI BUKOBA

Na Faustine Ruta, BukobaMamia ya Wakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa jana Jumatano juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na Mji wa Bukoba. Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.Mbunge wa Muleba Kusini Prof...

 

9 years ago

Vijimambo

MWILI WA MAREHEMU DK KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dk Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti. Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda, ukihamishiwa kwenye gari lingine wakati wa...

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA MAREHEMU DKT. ABDALAH KIGODA WAPOKELEWA JIJINI DAR

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizungumza na vyombo vya habari jinsi alivyomfahamu aliyekuwa waziri wa Viwanda na Biashara, marehemu Dkt. Abdallah Kigoda wakati wa mapokezi ya mwili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini  Dar es Salaam jioni hii, ukitokea India ambako alipatwa na mauti. Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, na Mgombea ubunge Jimbo la Handeni kupitia CCM, marahemu Dk Abdallah Kigoda, ukihamishiwa kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

MWILI WA MAREHEMU MZEE FRANCIS KITIME WASAFIRISHWA KWA MAZISHI

Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime wakiwa katika ibada ya kumuombea jana jijini Dar es Salaam. Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wa familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime wakiwa katika ibada ya kumuombea jana jijini Dar es Salaam.Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Huruma ya Wagonjwa Muhimbili akizunguka kulibariki jeneza lenye mwili wa Marehemu Mzee Francis Raphael Kitime kwenye ibada ya kumuombea iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana kabla ya kusafirishwa kwenda Iringa kwa Mazishi. Padre wa Kanisa Katoliki Parokia ya Huruma ya Wagonjwa Muhimbili akizunguka kulibariki jeneza lenye mwili wa Marehemu Mzee Francis Raphael Kitime kwenye ibada ya kumuombea iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana kabla ya kusafirishwa kwenda Iringa kwa Mazishi.Familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime (mbele) wakiwa kwenye ibada ya kumuombea marehemu. Familia ya marehemu Mzee Francis Raphael Kitime (mbele) wakiwa kwenye ibada ya kumuombea...

 

10 years ago

Vijimambo

MSAFARA WENYE MWILI WA MAREHEMU SAMUEL LUANGISA WAACHA HUZUNI BUKOBA



Gari lenye mwili wa marehemu Samuel Luhangisa lililosindikizwa na msafara mrefu wa magari,na pikipiki nyuma yake limeacha huzuni kubwa kwa wakazi wa mji wa Bukoba.Msafara huo ulikatiza katika viunga vya mji huo ikiwa ni safari yake ya mwisho kabla ya kupumzishwa katika nyumba yake ya milele tarehe 3/Juni/2015.Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera)Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Komredi Kinana, Nape wahani msiba wa Jaji Mstaafu Lwangisa Bukoba mjini

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akitia saini kwenye kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo ya Marehemu Jaji Mstaafu Samuel Luangisa nyumbani kwake kwa marehemu Kitendagulo, mjini Bukoba mkoani Kagera.Marehemu Luangisa ni miongoni  mwa Waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti tofauti alikuwa mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi (Kagera),Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua kwenye kaburi...

 

10 years ago

Michuzi

MATUKIO YA MAZISHI YA MHE. SAMUELI NTAMBALA LUANGISA LEO JUMATANO JUNI 3, 2015 KITENDAGURO-BUKOBA.

Na Faustine Ruta, Bukoba
Mamia ya Waakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa leo Jumatano juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na Mji wa Bukoba. Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera) Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.
Mbunge wa muleba...

 

10 years ago

Vijimambo

MAZISHI YA SAMUEL LUANGISA,MBUNGE NA MEYA WA ZAMANI WA BUKOBA MAJONZI YATAWALA

Mazishi ya Mpigania Uhuru wa Tanganyika na Mbunge wa Bukoba na Meya wa Manispaa hiyo wa zamani mzee Samuel Luangisa  yafanyika kijijini kwake Kitendaguro nje kidogo ya mji wa Bukoba.Mkongwe huyo wa siasa alikutwa na mauti wakati akiwa kwenye matibabu nchini Marekani. Mzee Luangisa alifariki siku ya tarehe 27 mwezi wa 5 na misa na kumuaga vilifanyika siku ya tarehe 2. Picha kwa hisani ya Harakanews.com

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno ya Chopamchopanga Kuhusu Marehemu Kanumba Yaleta Majonzi

Leo Asubuhi kupita ukurasa wake mtandaoni, staa wa Bongo Movies Juma Chikoka “Chopa Mchopanga” ambae amewahi kufanya kazi kwa karibu  na marehmu Steven Kanumba toka enzi wakiwa Kaole, ameonyesha hisia zake za kumkumbuka sana Kanumba kitendo ambacho kimewafanya washabiki wengi nao kuonyesha kukuswa na andiko hilo nakupelekea komenti nyingi za majonzi kutawala kwenye post hiyo.

Chapa aliandika haya mara baadaya kuweka picha ya Kanumba;

“Too soon.. too  young.. very talented  Steven  Kanumba.....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani