MAZISHI YA SAMUEL LUANGISA,MBUNGE NA MEYA WA ZAMANI WA BUKOBA MAJONZI YATAWALA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vxBBAFN_EKo/VW7Ai2BC4VI/AAAAAAAALBU/N7CD8M0Q2TI/s72-c/me%2B1.jpg)
Mazishi ya Mpigania Uhuru wa Tanganyika na Mbunge wa Bukoba na Meya wa Manispaa hiyo wa zamani mzee Samuel Luangisa yafanyika kijijini kwake Kitendaguro nje kidogo ya mji wa Bukoba.Mkongwe huyo wa siasa alikutwa na mauti wakati akiwa kwenye matibabu nchini Marekani. Mzee Luangisa alifariki siku ya tarehe 27 mwezi wa 5 na misa na kumuaga vilifanyika siku ya tarehe 2. Picha kwa hisani ya Harakanews.com
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Hih0CRx6ofw/VW3CvctdCKI/AAAAAAAAK-s/k3EGzjIRe60/s72-c/SI%2B2.jpg)
MSAFARA WENYE MWILI WA MAREHEMU SAMUEL LUANGISA WAACHA HUZUNI BUKOBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hih0CRx6ofw/VW3CvctdCKI/AAAAAAAAK-s/k3EGzjIRe60/s640/SI%2B2.jpg)
Gari lenye mwili wa marehemu Samuel Luhangisa lililosindikizwa na msafara mrefu wa magari,na pikipiki nyuma yake limeacha huzuni kubwa kwa wakazi wa mji wa Bukoba.Msafara huo ulikatiza katika viunga vya mji huo ikiwa ni safari yake ya mwisho kabla ya kupumzishwa katika nyumba yake ya milele tarehe 3/Juni/2015.Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera)Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-C_YMvbMTStA/VXKGm6eA9lI/AAAAAAAC5uY/uYdRxpQtksU/s72-c/6.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM KOMREDI KINANA AHANI MSIBA WA MAREHEMU MHE.SAMUEL LUANGISA MJINI BUKOBA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-C_YMvbMTStA/VXKGm6eA9lI/AAAAAAAC5uY/uYdRxpQtksU/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bp67HkAnsKA/VXKGkWGuhqI/AAAAAAAC5uA/Qn4Sgt7DB5E/s640/5.jpg)
10 years ago
MichuziMATUKIO YA MAZISHI YA MHE. SAMUELI NTAMBALA LUANGISA LEO JUMATANO JUNI 3, 2015 KITENDAGURO-BUKOBA.
Mamia ya Waakazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake wakiwemo na Wageni mbalimbali kutoka nje ya Mkoa huu na nje ya Nchi wamejitokeza kwa wingi kumzika marehemu Samuel Luangisa leo Jumatano juni 3, 2015 nyumbani kwake Kitendaguro nje kidogo na Mji wa Bukoba. Marehemu Samuel Luangisa ni miongoni mwa waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi(Kagera) Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zvelMBoKWHU/VW9Y1nMdUvI/AAAAAAAAbxk/XJywtJ9X9Sw/s640/11271934_870514296330054_290073214_n.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RVQHFMVX1AM/VTajSiaUkVI/AAAAAAAAaQw/HbJwNzCMVxs/s72-c/20.jpg)
majonzi yatawala wakati wa kumuaga BIBI MAGDALENA PETRO MAGIGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RVQHFMVX1AM/VTajSiaUkVI/AAAAAAAAaQw/HbJwNzCMVxs/s1600/20.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rn7Eni0937A/VTajQ6pgkFI/AAAAAAAAaQc/_T8HjV3EwI8/s1600/18.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0nYmSENH9XU/VTajTss_QGI/AAAAAAAAaQ4/Wo8x_kgBdXw/s1600/22.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZrpmkIAe59g/VTajaFdK_8I/AAAAAAAAaRw/pentdlC59NQ/s1600/34.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vbocQnQ_MuE/VTajVcJSRdI/AAAAAAAAaRM/Q78C7p2jJws/s1600/3.jpg)
10 years ago
MichuziMISA YA KUMUAGA MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK
10 years ago
VijimamboMisa ya Shukurani Arubaini ya Marehemu Mzee Samuel N. Luangisa
Saturday August 8, 2015.
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya Shukurani au Arubaini ya Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83),
Siku: Saturday August 8th, 2015
Saa: 4pm
Address: Luangisa Residence: 374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Misa itaongozwa na Mchungaji Mama Butiku
Mpe taarifa mwenzako...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nloXItybkA1d8wDEwbI3zxkyUmY5y-Hr-x*FWzfhoM-8x9tjklyj3aY7Jln8igC06KY9YAcFDcLiksjjjMLjCh8ZxIFzno90/luangisa.jpg)
TANZIA: MZEE SAMUEL LUANGISA AFARIKI DUNIA JIJINI NEW YORK
Mzee Samuel Luangisa enzi za uhai wake. Jumuiya ya Watanzania New York pamoja na Familia ya Luangisa tunasikitika kutangaza kifo cha Mzee wetu Mzee Luangisa kilichotokea jana Jumatatu Mei 25,2015 saa tano asubuhi. Msiba utakuwa nyumbani kwa Bwana Peter Luangisa,374 Hawthorne Terrace, Mount Vernon. NY,10552. Uongozi wa Jumuiya New York unatoa pole kwa wafiwa na Kama ilivyo Desturi yetu wanajumuiya tuungane na wafiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rKpUzYPoycU/VWO1U2xDyXI/AAAAAAADoq8/BZ_jwRG8GDY/s72-c/LUA.jpg)
MISA YA MAREHEMU MZEE SAMUEL LUANGISA KUFANYIKA JUMAMOSI MAY 30, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-rKpUzYPoycU/VWO1U2xDyXI/AAAAAAADoq8/BZ_jwRG8GDY/s640/LUA.jpg)
Familia ya Marehemu Mzee Luangisa na New York Tanzania Community, inawakaribisha kwenye MISA ya kumuaga Marehemu Mzee wetu, Baba yetu na Kiongozi wetu Mzee Samuel Ntambala Luangisa (83), kabla ya kwenda Bukoba kwa mazishi Siku Jumamosi MAY 30th, 2015kuanzia Saa: 1pm - 5pm
Address: LEE'S Funeral Home L.L.C160 Fisher AvenueWhite Plains, NY 10606
Baada ya Misa sote tutajumuika nyumbani kwa Wafia The Luangisa Residence:
374 Hawthorne Terrace, Mt. Vernon, NY 10552
Mpe...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5oatUBiM1ws/VQBji4fpiGI/AAAAAAAHJnk/6hDpBwbnNmg/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
MAJONZI YATAWALA HOSPITALI YA WILAYA YA MAFINGA BAADA YA KUWASILI MIILI YA WALIOPATA AJALI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5oatUBiM1ws/VQBji4fpiGI/AAAAAAAHJnk/6hDpBwbnNmg/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZPbVwgbkO8/VQBjjK05YZI/AAAAAAAHJno/sgyWSH4upts/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AY1pRn92ORE/VQBkKk5DEMI/AAAAAAAHJoI/t9gCIFFfxwY/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10