MAJONZI YATAWALA HOSPITALI YA WILAYA YA MAFINGA BAADA YA KUWASILI MIILI YA WALIOPATA AJALI LEO
.jpg)
Simanzi katika Hospitali ya Wilaya ya Mafinga wakati maiti zilizopatikana kwenye ajali mbaya iliyotokea mapema leo asubuhi,maeneo ya Changarawe,Mafinga Mkoani Iringa,zikiwasili. Zaidi ya 30 wamepoteza maisha katika ajali hiyo iliyohusisha Lori la Mizigo na Basi la abiria la Kampuni ya Majinja lililokuwa likitokea Mkoani Mbeya kuelekea jijini Dar es salaam.Picha zote na Mdau Baraka Chibiriti.
Ni majonzi kwa kila alefika kwenye hospitali hii.
Sehemu ya Wasamalia na Mafundi waliosaidia kazi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO



Baadhi ya viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kigoma wakitoa heshima zao za mwisho kwa askari wa kikosi cha 821 JKT bulombora waliopata ajali ya gari jana na kufariki dunia.

Askari kutoka vikosi na majeshi mbalimbali wakiwa mbele ya majeneza ya askari wenzao wa kikosi cha 821 JKT Bulombora waliofariki jana kwa ajali kwaajili ya...
10 years ago
Vijimambo
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO




10 years ago
Michuzi
NEWS ALERT: WATU ZAIDI YA 30 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MAFINGA, IRINGA, LEO BAADA YA BASI LA ABIRIA KUANGUKIWA NA KONTENA


10 years ago
Michuzi
majonzi yatawala wakati wa kumuaga BIBI MAGDALENA PETRO MAGIGE





10 years ago
Vijimambo
MAZISHI YA SAMUEL LUANGISA,MBUNGE NA MEYA WA ZAMANI WA BUKOBA MAJONZI YATAWALA



































9 years ago
Michuzi
MAITI ZALAZWA SAKAKFUNI HOSPITALI YA MAFINGA
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA KINONDONI AFANYA ZIARA HOSPITALI YA MWANANYAMALA NA PALESTINA LEO

10 years ago
Michuzi
TATOA YAWAPA POLE WALIOPATA AJALI KASUMBALESA.

‘TATOA inatoa pole kwa familia na waathirika wote wa janga hili la moto kutoka nchi za Tanzania, Zambia, Zimbabwe, Congo na Afrika Kusini,...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10