MAITI ZALAZWA SAKAKFUNI HOSPITALI YA MAFINGA
![](http://img.youtube.com/vi/T2rs25uWqa0/default.jpg)
Udogo wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mafinga yalazimu wahudumu wa hospitali hiyo kulaza maiti sakafuni.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Maiti zalazwa vitanda vya wagonjwa Kyerwa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5oatUBiM1ws/VQBji4fpiGI/AAAAAAAHJnk/6hDpBwbnNmg/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
MAJONZI YATAWALA HOSPITALI YA WILAYA YA MAFINGA BAADA YA KUWASILI MIILI YA WALIOPATA AJALI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-5oatUBiM1ws/VQBji4fpiGI/AAAAAAAHJnk/6hDpBwbnNmg/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CZPbVwgbkO8/VQBjjK05YZI/AAAAAAAHJno/sgyWSH4upts/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AY1pRn92ORE/VQBkKk5DEMI/AAAAAAAHJoI/t9gCIFFfxwY/s1600/unnamed%2B(84).jpg)
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Ajali Morobest: Wafurika hospitali kutambua maiti
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI
Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...
10 years ago
IPPmedia17 Jun
Death toll in Mafinga accident up
IPPmedia
IPPmedia
Death toll from the tragic accident that occurred on Sunday at Kinyanambo A in Mafinga District has increased to 24. Speaking with The Guardian yesterday acting Iringa Regional Police Commander (RPC) Pudenciana Protas said one of the victims who was ...
Let's make Tanzania an accident-free countryDaily News
all 3
10 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mkutano wa Kinana mjini Mafinga
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia mkono wananchi wa Mafinga wakati akiwasili kwenye uwanja wa Mashujaa .
![](http://4.bp.blogspot.com/-qYR4M0lFOyU/VDaxQFPSbHI/AAAAAAAASNo/0zcv6b_goPg/s1600/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana na Bi.Mwigavillo Ngole ambaye amesafiri mwendo mrefu kuja kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rzFpKRosK8/VDaxQQaTDpI/AAAAAAAASNs/xmgy__uGhdY/s1600/7.jpg)
Wazee wa Kimila wakiwa uwanjani kumsikiliza Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ambapo walimpa Uchifu na kumtambua kwa jina la Galiendela Matuga .
![](http://3.bp.blogspot.com/-MvjMf4Ci8ag/VDaxQ81LNdI/AAAAAAAASNw/T2xAi41VlO0/s1600/8.jpg)
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Mufindi Johanes Kaguo akifungua...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Mtoto wa Mungai aahidi neema Mafinga
Na Gustaph Haule, Mafinga
MGOMBEA Ubunge wa Chadema Mafinga Mjini, William Mungai, amewaomba wananchi kumchagua aweze kuleta mabadiliko ya maendeleo.
Alisema amejitosa kugombea nafasi hiyo kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi katika sekta mbalimbali kwa kukabaliana na changamoto zilizopo ikiwamo afya, maji, viwanda, miundombinu, elimu na kuimarisha uchumi kupitia taasisi za benki.
Mtoto huyo wa Mungai alisema jimbo hilo limekuwa mstari wa mbele katika kuchangia mapato ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rvK5G5vudcg/XsUMMlq7MAI/AAAAAAALq6k/HhxL8tAuT-ICQpDjpHi3zdFYXX9V2TVkACLcBGAsYHQ/s72-c/529dac7a-2123-4f92-a35e-798ab1d73462.jpg)
HALMASHAURI YA MAFINGA KUTOA LESENI ZA BIASHARA KIELEKTRONIKI
Makabidhiano hayo yamefanyika Mei 19, 2020, katika Ofisi za BRELA Makao Makuu Jijini Dar es salaam yakishuhudiwa na Maofisa kutoka BRELA na Maofisa Biashara kutoka katika Halmashauri ya Mji wa Mafinga.
Akizungumza katika hafla fupi...
10 years ago
Mwananchi13 Mar
Waliokufa ajali ya basi Mafinga sasa wafikia 50