Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ajali Morobest: Wafurika hospitali kutambua maiti

>Wakazi wa Mpwapwa na vitongoji vya Mkoa wa Dodoma, wamefurika katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kutambua maiti waliopoteza maisha katika ajali ya basi la Morobest iliyotokea juzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

17 wapoteza maisha na 56 wajeruhiwa katika ajali ya basi la morobest dodoma

TAKRIBANI watu 17 wamepoteza maisha  na wengine  56  kujeruhiwa baada ya basi la la Morobest lililokuwa linatoka Mpwapwa kwenda Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na lori eneo la Pandambili, Kongwa mkoani Dodoma leo. Kwa mujibu wa taarifa ya kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, basi hilo lilikuwa likiendeshwa na dereva Said Lusogo liligongana na Lori namba T820CKU / T390CKT lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma likiendeshwa na dereva Gilbert Isata Nemaya. Amesema atika ajali hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

MAITI ZALAZWA SAKAKFUNI HOSPITALI YA MAFINGA

Udogo wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mafinga yalazimu wahudumu wa hospitali hiyo kulaza maiti sakafuni.

 

10 years ago

Habarileo

Maiti 13 wa ajali ya Tabora watambuliwa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaMAITI za watu 13 kati ya 16 waliokufa katika ajali ya mabasi yaliyogongana juzi mkoani Tabora, zimetambuliwa na ndugu zao.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti ajali ya Moro watambuliwa

Idadi ya maiti zilizotambulika katika ajali ya basi la Aljabir lililogonga treni ya abiria ya Tazara imeongezeka na kufikia nane wakati majeruhi waliolazwa katika Hospitali ya Mtakatifu Francis wakiwa wamebaki 20.

 

10 years ago

Habarileo

Maiti 4 ajali ya treni hawajatambuliwa

MIILI ya watu wanne kati ya 12 waliokufa papo hapo juzi kwa ajali ya basi la Kampuni ya Super Aljabir baada ya kugongana na gari moshi, mali ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA ), haijatambuliwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maiti yakaa eneo la ajali saa 21

MWILI wa Idd Shamba aliyefariki dunia kwa ajali ya barabarabi katika Kijiji cha Engaruka wilayani hapa, imekaa barabarani kwa zaidi ya saa 21 ikisubiri polisi na daktari kufika eneo la...

 

10 years ago

Mtanzania

Maiti ajali ya basi wazikwa kaburi moja

NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MIILI ya abiria 15 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi iliyotokea juzi katika eneo la Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, imezikwa katika kaburi moja.
Ilizikwa jana asubuhi katika makaburi ya Msavu Ruaha wilayani humo.
Abiria hao walifariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Nganga walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T 373 DAH kugongana na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 164 BKG.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, John Henjewele, alisema...

 

10 years ago

Vijimambo

Kibaka auawa akidaiwa kupora maiti wa ajali

Watu wanne wamefariki dunia papo hapo akiwamo mama mjamzito na kichanga baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka eneo la Phantom mjini Kahama mkoani Shinyanga.

Ajali hiyo iliyotokea jana asubuhi, iliambatana na tukio la wananchi kuua mtu mmoja (pichani) wakimtuhumu kuwa kibaka aliyejaribu kuwapora fedha marehemu na majeruhi na ilihusisha basi la Wibonela Express lenye namba za usajili T412 CGN lililokuwa likisafiri kutoka Kahama kwenda jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya mashuhuda wa ajali...

 

10 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA POLISI KILWA ROAD YAPATA VIFAA VYA CHUMBA CHA KUHIFADHIA MAITI


Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), kontena lenye vifaa vya chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Jeshi la Polisi Kilwa Road. Wa kwanza kushoto ni Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, Abdulrahmani Kaniki.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwamini Malemi (kushoto), akiongozana na Balozi wa Misri Nchini, Hossam Moharam (kulia), kuelekea kwenye jengo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani