Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti yakaa eneo la ajali saa 21

MWILI wa Idd Shamba aliyefariki dunia kwa ajali ya barabarabi katika Kijiji cha Engaruka wilayani hapa, imekaa barabarani kwa zaidi ya saa 21 ikisubiri polisi na daktari kufika eneo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi

 Mgogoro mwingine mkubwa wa kifamilia wa kugombea maiti, umeibuka mjini Moshi na kusababisha mwili wa Rosemary Marandu (38), kuhifadhiwa mochwari kwa siku 34.

 

11 years ago

GPL

Yanga yakaa kikao na Kaseja kwa saa tatu

Juma Kaseja. Na Lucy Mgina
BAADA ya kutua Yanga KOCHA wa makipa wa Yanga, Razack Siwa, amesema alitumia zaidi ya saa tatu kumweka sawa kisaikolojia kipa Juma Kaseja siku moja baada ya mechi dhidi ya Simba. Kaseja alitupiwa lawama kibao kutoka kwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kutokana na kuruhusu bao jepesi kwenye mechi dhidi ya watani wao, Simba, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Habarileo

Maiti 13 wa ajali ya Tabora watambuliwa

Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan KagandaMAITI za watu 13 kati ya 16 waliokufa katika ajali ya mabasi yaliyogongana juzi mkoani Tabora, zimetambuliwa na ndugu zao.

 

10 years ago

Habarileo

Maiti 4 ajali ya treni hawajatambuliwa

MIILI ya watu wanne kati ya 12 waliokufa papo hapo juzi kwa ajali ya basi la Kampuni ya Super Aljabir baada ya kugongana na gari moshi, mali ya Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA ), haijatambuliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti ajali ya Moro watambuliwa

Idadi ya maiti zilizotambulika katika ajali ya basi la Aljabir lililogonga treni ya abiria ya Tazara imeongezeka na kufikia nane wakati majeruhi waliolazwa katika Hospitali ya Mtakatifu Francis wakiwa wamebaki 20.

 

10 years ago

Mtanzania

Maiti ajali ya basi wazikwa kaburi moja

NA RAMADHAN LIBENANGA, MOROGORO

MIILI ya abiria 15 walioteketea kwa moto katika ajali ya basi iliyotokea juzi katika eneo la Ruaha, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro, imezikwa katika kaburi moja.
Ilizikwa jana asubuhi katika makaburi ya Msavu Ruaha wilayani humo.
Abiria hao walifariki dunia baada ya basi la Kampuni ya Nganga walilokuwa wakisafiria lenye namba za usajili T 373 DAH kugongana na lori aina ya Fuso lenye namba za usajili T 164 BKG.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, John Henjewele, alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Ajali Morobest: Wafurika hospitali kutambua maiti

>Wakazi wa Mpwapwa na vitongoji vya Mkoa wa Dodoma, wamefurika katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma kutambua maiti waliopoteza maisha katika ajali ya basi la Morobest iliyotokea juzi.

 

10 years ago

Vijimambo

Kibaka auawa akidaiwa kupora maiti wa ajali

Watu wanne wamefariki dunia papo hapo akiwamo mama mjamzito na kichanga baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupinduka eneo la Phantom mjini Kahama mkoani Shinyanga.

Ajali hiyo iliyotokea jana asubuhi, iliambatana na tukio la wananchi kuua mtu mmoja (pichani) wakimtuhumu kuwa kibaka aliyejaribu kuwapora fedha marehemu na majeruhi na ilihusisha basi la Wibonela Express lenye namba za usajili T412 CGN lililokuwa likisafiri kutoka Kahama kwenda jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya mashuhuda wa ajali...

 

10 years ago

Michuzi

LORI LILILOBEBA MAITI LAPATA AJALI, LAUA WATU 5 NA KUJERUHI WENGINE 36

http://2.bp.blogspot.com/-i2-4osDY9qY/UWP7jkUdnlI/AAAAAAAAZlU/Kl-V8X24-g4/s1600/IMG_0134.JPG WATU watano wamekufa na wengine 36 kujeruhiwa baada ya lori walilokuwa wakisafiria kwenda msibani kupata hitilafu katika mfumo wa breki na kisha kutumbukia kwenye korongo.
Taarifa zilizothibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Bw. Ahmed Msangi zilieleza kuwa ajali hiyo ilitokea jana majira ya saa nane mchana katika mteremko wa Kanyegele, Kata ya Ntokela wilayani Rungwe.
Kamanda Msangi alisema lori hilo aina ya Mitsubishi Fuso yenye namba za usajili T143 ACR lilikuwa likitokea Ilemi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani