Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti zalazwa vitanda vya wagonjwa Kyerwa

>Wananchi wanaopata huduma za afya katika kituo cha afya Murongo wilayani Kyerwa mkoani Kagera, wameuomba uongozi wa kituo hicho kujenga chumba cha kuhifadhia maiti ili kuwaondolea adha wananchi wanayokumbana nayo baada ya kushuhudia maiti zikilazwa kwenye vitanda vya wagonjwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAITI ZALAZWA SAKAKFUNI HOSPITALI YA MAFINGA

Udogo wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Mafinga yalazimu wahudumu wa hospitali hiyo kulaza maiti sakafuni.

 

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa

Baada ya kulihutubia na kulizindua bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI amehudhuria hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma na kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla hiyo zipelekwe Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa.
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...

 

11 years ago

Michuzi

Vodacom yatoa vitanda vya wagonjwa Kituo cha Afya Chipanga Chapokea Wilayani Bahi

Mkuu wa Wilaya ya Bahi Mkoani Dodoma Betty Mkwassa (wa ttau kushoto) akipokea moja ya vitanda 9 kutoka kwa Mkuu wa Vodacom Kanda ya Kati Mruta Hamisi vilivyotolewa na mfuko wa kampuni hiyo wa kusaidia jamii (Vodacom Foundation) kwa ajili ya wodi ya wanawake katika kituo cha afya cha kijiji cha Chipanga.Kampuni ya Vodacom imejikita katika kusaidia uboreshaji wa huduma za afya hasa kwa wanawake na watoto chini ya mpango wake wa uwajibikaji kwa jamii. Mama mjamzito Vailet Petro ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Kenya yafikia 758, huku wagonjwa wengine 21 wakithibitishwa

Mipaka isiolindwa sasa imetajwa kuwa miongoni mwa maeneo hatari katika maambukizi ya virusi vya corona kulingana na naibu waziri wa Afya nchini Kenya Mercy Mwangangi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Mombasa yathibitisha wagonjwa 67 huku jumla ya wagonjwa ikifikia 2,474 kenya

Katibu wa Wizara ya Afya Mercy Mwangangi ametangaza Ijumaa kuwa idadi ya waliothibitishwa kuambukizwa ugonjwa wa Covid-19 nchini Kenya imeongezeka na kufikia 2,474.

 

9 years ago

CCM Blog

CHINA YASAIDIA VITANDA 60 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA KWA MKOA WA LINDI

 Balozi wa China nchini Dk. Lu Youqing akizungumza kabla ya kukabidhi vitanda 60 vya kujifungulia wakina mama katika mkoa wa Lindi, kushoto ni mkalimani wake Ndugu Mu Lin.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (MB) akizungumza kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (MB) ambapo alisema Serikali ya China pamoja na watu wake wamekuwa marafiki wa kweli kwa Tanzania na wamekuwa wakitoa misaada mingi bila kutoa masharti.

 Waziri wa...

 

10 years ago

Michuzi

Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje

 Mafundi wa Hospitala wakiunganisha kitanda cha kujifunguliwa kilicholetwa na Mh Janet Mben kwa ajili  ya hospitalai za ieleje. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Janet Mbene,akionyesha baadhi ya vifaa vinavyotumika katika hospital ambavyo avimetolewa na Karemjee Foundation kwa ajili ya Hospital ya Ileje. Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akimkabidhi Vitanda vya Kujifungulia Katibu wa CCMwilaya ya Ileje kwa ajili ya Hospitali za wilaya hiyo. Mganga mkuu wa Wilaya ya ilje...

 

11 years ago

Tanzania Daima

MWANAMVUA CHAUSA: Vitanda vya marehemu mume wangu vinawatoa ‘roho’ ndugu

UKATILI wa kijinsia ni ukiukwaji uliomea katika jamii hali inayoleta kikwazo kufikia usawa wa kimaendeleo. Ukatili huu unamaanisha mlolongo wa unyanyasaji unaofanyika dhidi ya wanawake na watoto.  Mwaka 1993, Azimio...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Idadi ya wagonjwa Tanzania yafika 147 baada ya wagonjwa 53 zaidi kukutwa na virusi hivyo

Tanzania imethibtisha wagonjwa wapya 53 wa virusi vya corona nchini humo hatua inayoongeza idadi ya watu walioathirika na ugonjwa huo kufikia watu 147

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani