Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Baada ya kulihutubia na kulizindua bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt JOHN POMBE MAGUFULI amehudhuria hafla fupi iliyoandaliwa kwa ajili ya wabunge katika viwanja vya Bunge Mjini Dodoma na kuagiza fedha zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla hiyo zipelekwe Katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda vya wagonjwa.
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo22 Nov
Fedha za hafla zanunua vitanda 300 Muhimbili
FEDHA za hafla ya wabunge ambazo Rais John Magufuli aliagiza zipelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimewezesha kununua vitanda 300 vya wagonjwa.
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili
10 years ago
Habarileo21 Aug
Waziri aagiza fedha za CHF zipelekwe MSD
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Suleiman Rashid ameviagiza vituo vyote vya huduma za afya nchini kuwasilisha Bohari Kuu ya Dawa (MSD) asilimia 50 ya fedha zote zinazokusanywa kwenye Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) pamoja na zile za “Papo kwa Papo”.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Rais Magufuli aagiza mamilioni ya sherehe ya Bunge yapelekwe Muhimbili
Na Mwandishi Wetu
RAIS John Magufuli ameagiza zaidi ya Sh milioni 200 zilizochangwa kwa ajili ya kugharamia hafla ya uzinduzi wa Bunge la 11 zipelekwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kwenda kununulia vitanda vya wagonjwa.
Akizungumza katika hafla fupi ya uzinduzi wa Bunge la 11 iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma, Rais Magufuli alisema ni jambo jema kwa wabunge kujinyima ili kuwasaidia wagonjwa walioko Muhimbili.
“Nilipoambiwa zimechangwa Sh milioni 225...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/DK.-MAGUFULI-2.jpg?width=650)
RAIS MAGUFULI ATINGA MUHIMBILI GHAFLA, AONGEA NA WAGONJWA
11 years ago
Mwananchi08 Jul
Maiti zalazwa vitanda vya wagonjwa Kyerwa
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s72-c/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
Vodacom yatoa vitanda vya wagonjwa Kituo cha Afya Chipanga Chapokea Wilayani Bahi
![](http://4.bp.blogspot.com/-6DXU_cDw9JU/U2edLTNnWwI/AAAAAAAFfsw/Gms8Qf3RK2w/s1600/MAKABIDHIANO+VITANDA+2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hDeCAzjnbJQ/U2edOH6Br2I/AAAAAAAFfs4/khEdrbSkx_4/s1600/MAMA+MJAMZITO+AKILIA+KWA+FURAHA+YA+MSAADA.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s72-c/1b.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL KATIKA HAFLA YA UCHANGISHAJI FEDHA KWA AJILI YA UHIFADHI WA VYANZO VYA MAJI KATIKA MABWAWA YA KUZALISHA UMEME YA MTERA, KIHANSI, KIDATU, NYUMBA YA MUNGU NA PANGANI
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiKoXW_Qvyo/VgpxyjY1sMI/AAAAAAAH7ug/8F9WQubczhs/s640/1b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-loDv1slsg_g/Vgpxy_YFZlI/AAAAAAAH7uo/9VFKPRBVUdU/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa Mabibo Beer, Wines & Spirits na...