Fedha za hafla zanunua vitanda 300 Muhimbili
FEDHA za hafla ya wabunge ambazo Rais John Magufuli aliagiza zipelekwe katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, zimewezesha kununua vitanda 300 vya wagonjwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Rais Magufuli aagiza fedha za hafla ya wabunge zipelekwe Muhimbili kununulia vitanda vya wagonjwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-QXA0bb1mCXI/Vk9eudExBGI/AAAAAAAIHKs/zvTOU4S5h3M/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Mheshimiwa Magufuli ametoa agizo hilo baada ya kupokea taarifa kuwa wadau mbalimbali wamechanga...
9 years ago
Mwananchi23 Nov
Wabunge wamsifu Dk Magufuli, vitanda 300 vyatua Muhimbili
Wabunge wamepongeza kitendo cha kuwasilishwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) vitanda 300, magodoro 300, viti vya magurudumu 30, blanketi 400 na mashuka 1,695 vilivyogharimu Sh251 milioni. Â Â Â
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s72-c/mm.png)
Agizo la Rais Magufuli kuhusu kununuliwa vitanda hospitali ya Muhimbili latekelezwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-oEIndExlq88/VlC_kkNH5WI/AAAAAAAIHsU/lxGL64ZdoPA/s640/mm.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Agizo alilolitoa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli la kutaka fedha zilizochangwa na wadau mbalimbali kwa ajili ya kugharamia hafla ya wabunge zipelekwe Katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa ajili ya kununulia vitanda na magodoro ya wagonjwa wanaolala chini limetekelezwa.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema fedha hizo zimefanikisha kupatikana vitanda 300 vya wagonjwa pamoja na magodoro yake, shuka 600, Baiskeli za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z6YiWWZfmY/VWLh_jbkU3I/AAAAAAAHZkQ/y8lTpsuC-5E/s72-c/unnamed%2B%252867%2529.jpg)
UK Islamic NGO support Muhimbili Cardiac equipment worth 300,000USD
By Aminiel Aligaesha
The Muntada Aid which is an Islamic NGO based in UK has supported medical equipment to Muhimbili National Hospital (MNH) worth over 300,000 USD to save lives of children with congenital heart diseases. Speaking to the press in Dar es Salaam, the Acting Executive Director of MNH Dr. Hussein Kidanto said the equipment donated includes stents and other surgical devices.
He said with stent children with congenital heart diseases have undergone high tech procedures of...
The Muntada Aid which is an Islamic NGO based in UK has supported medical equipment to Muhimbili National Hospital (MNH) worth over 300,000 USD to save lives of children with congenital heart diseases. Speaking to the press in Dar es Salaam, the Acting Executive Director of MNH Dr. Hussein Kidanto said the equipment donated includes stents and other surgical devices.
He said with stent children with congenital heart diseases have undergone high tech procedures of...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b698qiANzXk/XmIhrudiThI/AAAAAAALhco/VmfVpFVKmuEUyCFO1sN6uxxqXn2CwTPFACLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-23-53-22.jpg)
5 years ago
CCM BlogKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI BILIONI 250, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya kupokea...
5 years ago
MichuziKAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI DOLA MILIONI 100, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO
Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-G6tdImRxFsc/U5SHxMEbwyI/AAAAAAAFo4w/5oqK6e3S_hw/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT BILAL MGENI RASMI KWENYE HAFLA YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA MISITU YA MILIMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-G6tdImRxFsc/U5SHxMEbwyI/AAAAAAAFo4w/5oqK6e3S_hw/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oiKHKIaKfXY/U5SHxtDCSBI/AAAAAAAFo44/Fsv1URfp_gk/s1600/unnamed.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT. MPANGO KWENYE HAFLA YA KUPOKEA SEHEMU YA MALIPO YA FIDIA LEO JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-tIek3Sfwcdc/Xs0SEul2-_I/AAAAAAALrms/Yq5GY4Bq_zMgJwXSs-W_12-7-5jtNgDewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wa pili kushoto, akipokea hundi kifani ya dola milioni 100 kutoka kwa Mwakilishi Mkazi wa Kampuni ya Barrick Bw. Hilaire Diarra (wa pili kushoto), Jijini Dodoma Tarehe 26 Mei, 2020, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ilikubali kuilipa Serikali kumaliza mzozo uliokuwepo kati ya Serikali na Kampuni hiyo hatua iliyosababisha pia kuanzishwa kwa Kampuni ya Ubia ya Madini ya Twiga kati ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania