MJAMZITO FEKI AIBA KICHANGA
![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4DTb1IyGn4U9c*rWeu4PzpJiEp82kyLKYcIqpejTZAgelzv7IBiVc16cghoazVelBu-F3o2Q1YMY9sbuw77Eyy/mjamzito.jpg?width=650)
Na Deogratius Mongela na Nyemo Chilongani INAWEZA kukushtua lakini ndivyo ilivyotokea. Kichanga cha siku thelathini, Veis Venus kiliibwa hivi karibuni, mtuhumiwa akiwa ni mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Grace akidaiwa ni mjamzito feki. Mtoto Veis Venus aliyekuwa ameibiwa. Tukio hilo la kushangaza lilijiri Januari 27, 2013 maeneo ya Posta jijini Dar na mtoto huyo kupatikana Januari mwaka huu, mkoani Mbeya. Akizungumza na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
'Hausigeli' aiba milioni 2.6/-
MSICHANA anayefanya kazi za ndani katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, anadaiwa kuiba Sh milioni 2.6 mali ya mwajiri wake.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Imamu aiba nguruwe
KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...
11 years ago
Habarileo19 Jan
Askari Magereza ‘aiba’ dukani
JESHI la Polisi mjini hapa linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo (Magereza) kwa tuhuma za wizi wa Sh 1,635,000 katika duka lililopo eneo la Makadara. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mkadam Khamis Mkadam, jana alimtaja askari huyo kuwa ni Sajini Meja Hassan Iddi Hassan (45) wa Chuo cha Mafunzo Makao Makuu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNK3jS3L5XU/XkayhLVof6I/AAAAAAALdaI/T9Vf-RGRzQ0G8skNUSAUYROSilhSpmfWwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B5.37.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MUUMINI AIBA SADAKA ZA KANISA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZNK3jS3L5XU/XkayhLVof6I/AAAAAAALdaI/T9Vf-RGRzQ0G8skNUSAUYROSilhSpmfWwCLcBGAsYHQ/s320/WhatsApp%2BImage%2B2020-02-14%2Bat%2B5.37.35%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
Imeelezwa kuwa kanisa hilo lilitazama video zilizofichwa (CCTV) baada ya kugundua kuwa fedha zimepotea kutoka kasha maalumu zilipohifadhiwa na kugundua kuwa Peter alitengeneza njia kanisani humo na kutumia waya mwembamba kutoa fedha hizo kutoka katika kasha.
Kwa...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mke aiba mtoto asiachike
MKAZI wa kijiji cha Kisumba, Manispaa ya Sumbawanga, Halima Nambeya (18) ametupwa jela mwaka mmoja na Mahakama ya wilaya ya Sumbawanga baada ya kukiri kosa la kuiba mtoto mchanga wa kiume kwa lengo la kulinda ndoa yake ili asiachike kwa kukosa mtoto.
11 years ago
Habarileo19 Apr
Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa
OFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
MICHUANO YA MADOLA: AIBA wamkataa kocha wa Tanzania
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSMv-gPSdE*OcpF99uZMZITHxv87BQg8*82bsNjHf8c4tniat1C0fn-OIem5urX6XWFXT3eZNkyvek3R44o59KlT/Hausigeli.jpg?width=650)
HAUSIGELI AIBA MTOTO DAR, AKAMATWA MWANZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5O7Ak9FRkDXaIn9Havgm54FmRPii0BbO9vBudke8QfEeiq7eIz4fN7XuzTViW7Nl0lZrmG7C-aZorQ9Fk3wLH*Z/Mwanamke.jpg?width=650)
MWANAMKE ARUKA UKUTA, AIBA MASHUKA NA DEKI