HAUSIGELI AIBA MTOTO DAR, AKAMATWA MWANZA
![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSMv-gPSdE*OcpF99uZMZITHxv87BQg8*82bsNjHf8c4tniat1C0fn-OIem5urX6XWFXT3eZNkyvek3R44o59KlT/Hausigeli.jpg?width=650)
Na Makongoro Oging’ KAA chonjo! Mfanyakazi wa ndani ‘hausigeli’, Sheila Chacha (pichani) aliyekuwa akifanya kazi kwa Abraham Jullu maeneo ya Tegeta-Wazo, Dar anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Mkoa wa Mwanza akidaiwa kuiba mtoto wa tajiri yake aitwaye Coletha (1/8) jijini Dar. Mfanyakazi wa ndani ‘hausigeli’, Sheila Chacha anayetuhumiwa kwa kuiba mtoto. Akizungumza na gazeti hili juzi, baba mzazi wa mtoto huyo,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Oct
'Hausigeli' aiba milioni 2.6/-
MSICHANA anayefanya kazi za ndani katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, anadaiwa kuiba Sh milioni 2.6 mali ya mwajiri wake.
11 years ago
Habarileo17 Jul
Mke aiba mtoto asiachike
MKAZI wa kijiji cha Kisumba, Manispaa ya Sumbawanga, Halima Nambeya (18) ametupwa jela mwaka mmoja na Mahakama ya wilaya ya Sumbawanga baada ya kukiri kosa la kuiba mtoto mchanga wa kiume kwa lengo la kulinda ndoa yake ili asiachike kwa kukosa mtoto.
11 years ago
Habarileo19 Apr
Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa
OFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ8Wfnu9gCoZaunYnmxAJ2i5vQ70XZjAgji-v7AQoMSUCn8xMoaUpEWdxySPPqaRAwL-VnGvSLM8WegY6AOlnGag/HAUCGEL.jpg?width=650)
HAUSIGELI ASAKWA WIZI WA MTOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO9yFIqX1cNHor*6oiCVrdpYlHjZJGGnAx0qKstXxxMWxy9yd9dDYFsIhFL9ac4j4L*r115zNCJZEChltMCyEIpX/HAUSIGELIKIPIGO.jpg)
HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AOMBA SAMAHANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycNQqh-ISC5TN87Uk8jM8fjWUDY8V5-rFVbjEo6rm2kQ9bRFBADQLb6Vn06JB2N6Oc07aMjqcf7Z5Sk*45T3Qzso/abambwa.gif?width=650)
MTOTO ATUMIWA KUMWIBA MTOTO, AKAMATWA...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5tuI60C5jJXhkQduOvSlOs9UXQWxFg7foWZRDRxOppckSNAG928HWlFyC3MlN1wKC9roO9WjN9Q-eNQhZddd*WiU/hausigeli.jpg)
HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA
10 years ago
GPL19 Apr
VIDEO: HAUSIGELI ANASWA AKIMNYONYESHA MTOTO WA BOSI WAKE KENYA
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXer45ae2WIzlIT6qSnyt4EKE9lf4HULzeGir*V48duKWfaS4Jr--aEjlk64JsKFLs8DjgOmK-3P2XkSsacm1Ut/IMG20141022WA0005.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXSJS6A0zGLDatjzqmSjHCeOXj0l-sDdBXLgrrDFyeWHmgOMcUDFl5BV2DPYXwDBftTduE96JCg7hCxT*NeMekw/IMG20141022WA0007.jpg?width=650)
Na Imelda mtema wa GPLUnyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.
Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba mzazi wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la John...