Mke aiba mtoto asiachike
MKAZI wa kijiji cha Kisumba, Manispaa ya Sumbawanga, Halima Nambeya (18) ametupwa jela mwaka mmoja na Mahakama ya wilaya ya Sumbawanga baada ya kukiri kosa la kuiba mtoto mchanga wa kiume kwa lengo la kulinda ndoa yake ili asiachike kwa kukosa mtoto.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 Apr
Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa
OFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSMv-gPSdE*OcpF99uZMZITHxv87BQg8*82bsNjHf8c4tniat1C0fn-OIem5urX6XWFXT3eZNkyvek3R44o59KlT/Hausigeli.jpg?width=650)
HAUSIGELI AIBA MTOTO DAR, AKAMATWA MWANZA
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
10 years ago
GPLMATUKIO YA BETHDEI YA MKE NA MTOTO WA MTITU
10 years ago
Habarileo21 Aug
Mtoto apewa jina la mke wa Kikwete
RAIS Jakaya Kikwete ameanza ziara ya Mkoa wa Morogoro kwa kuzindua Mfumo wa Huduma za Afya za Masafa katika Kituo cha Afya cha Mwaya Wilaya ya Ulanga, ambako mtoto mchanga wa kike aliyezaliwa saa chache baada ya uzinduzi huo, alipewa jina la Salma, mke wa Rais Kikwete.
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Mfuko wa kumsaidia mke, mtoto wa Mawazo kuanzishwa
10 years ago
Habarileo17 Jan
‘Mke’ wa mbunge avamia kikao na mtoto mlemavu
ANAYEDAIWA aliyewahi kuwa mke wa mbunge wa jimbo la Dimani Zanzibar, Abdallah Sharia Ameir (CCM), Hawa Deus, jana alivamia kikao cha Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala akiwa amesindikizwa na kundi la watu ambao mmojawao alikuwa amembeba mtoto wa mbunge huyo mwenye ulemavu, huku wakipiga kelele na kuwaacha wabunge na viongozi wa dini waliokuwepo kupigwa na butwaa.
11 years ago
Mwananchi26 May
Mke wa Mvungi akubali kumlea mtoto Nasra
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Mtoto adai mke wa ‘mbakaji’ alificha siri