HAUSIGELI ASAKWA WIZI WA MTOTO
![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ8Wfnu9gCoZaunYnmxAJ2i5vQ70XZjAgji-v7AQoMSUCn8xMoaUpEWdxySPPqaRAwL-VnGvSLM8WegY6AOlnGag/HAUCGEL.jpg?width=650)
Stori: Shomari Binda, Mara/UWAZI MFANYAKAZI wa ndani anayefahamika kwa jina la Paulina Sobe anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na wizi wa mtoto wa bosi wake, Diana Meshack, mwenye umri wa miaka miwili, huko Musoma mkoani Mara, tukio lililotokea Januari 3 mwaka huu. RPC Mara akiwa na mtoto aliyeibiwa(kushoto) ni mama wa mtoto huyo. Kamanda wa Jeshi hilo mkoani Mara, ACP Philip Kalangi, aliliambia gazeti hili...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Asakwa kwa kunyonga mtoto
JESHI la Polisi mkoani Geita linamsaka Shija Hamisi (28), mkazi wa Kijiji cha Ibamba kwa tuhuma za kumuua mtoto wake mwenye umri wa wiki mbili kwa kumnyonga kwa wivu wa...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
TUHUMA: Mwamuzi wa Fifa asakwa kwa tuhuma za wizi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO9yFIqX1cNHor*6oiCVrdpYlHjZJGGnAx0qKstXxxMWxy9yd9dDYFsIhFL9ac4j4L*r115zNCJZEChltMCyEIpX/HAUSIGELIKIPIGO.jpg)
HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AOMBA SAMAHANI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aMLkUWs6eSMv-gPSdE*OcpF99uZMZITHxv87BQg8*82bsNjHf8c4tniat1C0fn-OIem5urX6XWFXT3eZNkyvek3R44o59KlT/Hausigeli.jpg?width=650)
HAUSIGELI AIBA MTOTO DAR, AKAMATWA MWANZA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXiKii5t5tuI60C5jJXhkQduOvSlOs9UXQWxFg7foWZRDRxOppckSNAG928HWlFyC3MlN1wKC9roO9WjN9Q-eNQhZddd*WiU/hausigeli.jpg)
HAUSIGELI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AHUKUMIWA MIAKA 4 JELA
10 years ago
Vijimambo24 Oct
WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXer45ae2WIzlIT6qSnyt4EKE9lf4HULzeGir*V48duKWfaS4Jr--aEjlk64JsKFLs8DjgOmK-3P2XkSsacm1Ut/IMG20141022WA0005.jpg?width=650)
![](http://api.ning.com/files/TwbgnXl4eNXSJS6A0zGLDatjzqmSjHCeOXj0l-sDdBXLgrrDFyeWHmgOMcUDFl5BV2DPYXwDBftTduE96JCg7hCxT*NeMekw/IMG20141022WA0007.jpg?width=650)
Na Imelda mtema wa GPLUnyama! Dada wa kazi (hausigeli), aliyetajwa kwa jina moja la Rachel, mkazi wa Tabata-Shule jijini Dar, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuchukua kisu jikoni kisha kumchomachoma nacho mtoto, Samwel John (4) anayeishi nyumba ya jirani.
Akizungumzia mkasa huo kwa masikitiko makubwa uliojiri hivi karibuni maeneo hayo, baba mzazi wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la John...
10 years ago
GPL19 Apr
VIDEO: HAUSIGELI ANASWA AKIMNYONYESHA MTOTO WA BOSI WAKE KENYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNXddmpqsj9a*86*9hfFe6l70i2mJLRXimnzOazRlMks7h0Voied7WFrU6LVAKQcXe6FydXgKNpobTU4LnTrS2*A/unyama.jpg)
UNYAMA! WAZAZI SOMENI HABARI HII YA KUSIKITISHA HAUSIGELI ALIVYOMFANYIA MTOTO
11 years ago
Habarileo25 Apr
Polisi kizimbani wizi wa mtoto
WATU wawili akiwemo askari Polisi wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Mbeya, wakituhumiwa kuiba mtoto. Mshitakiwa wa kwanza katika kesi hiyo konstebo wa Polisi WP 5367 Prisca Isaya (35) mkazi wa Ilala Dar es Salaam na mkazi wa Njisi wilayani Kyela mkoani hapa Salehe Mwangosi (28).