Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE ARUKA UKUTA, AIBA MASHUKA NA DEKI

Dunstan Shekidele
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Asha Saidi, hivi karibuni alikiona cha moto baada ya kufumwa akiiba mashuka na deki kwenye nyumba ya jirani yake.Tukio hilo lilitokea mtaa wa Mawenzi ambao mama huyu anaishi, inadawa aliruka ukuta na kukutwa na mama mwenye nyumba anayeitwa Zainabu akifanya uhalifu huo. Asha Saidi akiwa na Deki aliyodaiwa kuiiba. Ilidaiwa kuwa baada ya Zainabu kushuhudia tukio hili alipiga...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Polisi mwanamke aiba mtoto, anaswa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed MsangiOFISA wa Jeshi la Polisi nchini, anashikiliwa na jeshi hilo mkoani Mbeya akituhumiwa kuiba mtoto mchanga mwenye umri wa siku saba.

 

9 years ago

StarTV

Wagonjwa vituo vya afya Tanga kutumia mashuka yao kutokana na uhaba wa mashuka

Uhaba wa mashuka katika vituo vya afya mkoani Tanga umesababisha baadhi ya wagonjwa kutumia mashuka yao binafsi jambo ambalo halikubaliki kiafya.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mwantumu Mahiza amekiri kuwepo kwa tatizo hilo ambalo limekuwa likisababisha usumbufu kwa wagonjwa wanaohudumiwa katika vituo hivyo.

Mahiza amesema hayo wakati akipokea msaada wa mashuka kutoka Mfuko wa Bima ya Afya NHIF kwa ajili ya kukabiliana na tatizo hilo katika mkoa wa Tanga.

 Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga inajumla ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Museveni aruka kihunzi cha utawala wa kifalme

AGOSTI  28 mwaka huu rais wa Uganda Yoweri Museveni alimteua Muhoozi Kainerugaba  ambaye ni mwanawe kuwa Brigedia Jenerali na mkuu wa kikosi maalum cha kijeshi nchini humo. Uteuzi wa Brigedia ...

 

10 years ago

GPL

MAMA ARUKA KWENYE BAISKELI, AGONGWA, AFA!

Kaka wa marehemu(Sarah Joseph ), Tabu Joseph Ihuya akisimulia mkasa huo. Stori: Mashaka Kisusi, Mwanza/Ijumaa Wikienda
Majonzi! Mama mmoja mkazi wa Kijiji cha Lubuga wilayani Misungwi mkoani hapa, Sarah Joseph (22), amegongwa na lori lenye namba za usajili T 115 AVE lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Dar kisha kufa papohapo baada ya kuruka kutoka kwenye baiskeli. Tukio lilitokea hivi karibuni wilayani humo ambapo Sarah...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakibinga aruka kimanga kutoa siri za TFF kwa Ndumbaro

Ofisa Mtendaji wa Bodi ya Ligi (TPLB), Silas Mwakibinga ameondolewa kwenye wadhifa wake huo.

 

10 years ago

Habarileo

'Hausigeli' aiba milioni 2.6/-

MSICHANA anayefanya kazi za ndani katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, anadaiwa kuiba Sh milioni 2.6 mali ya mwajiri wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Imamu aiba nguruwe

KATIKA hali isiyo ya kawaida, aliyekuwa Imamu wa Msikiti wa Kisesa uliopo Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza, Salum Yusuph, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira baada ya kukamatwa akiwa ameiba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani