MICHUANO YA MADOLA: AIBA wamkataa kocha wa Tanzania
Shirikisho la Ngumi za Ridhaa la Dunia (AIBA) limegomea ombi la Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) la kumtumia kocha mkuu wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa, Jonas Mwakipesile, kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Kocha akata tamaa Madola
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
11 years ago
Mwananchi19 Jul
‘Medali ya Madola imeachwa Tanzania’
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Mashujaa wa Tanzania waliotwaa medali 21 Madola
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Tanzania kusaka medali Madola leo
10 years ago
Habarileo11 Jul
Tanzania mwenyeji utumishi wa umma Madola
TANZANIA inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa 12 wa wakuu wa utumishi wa Umma wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola.
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Tanzania mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Utumishi wa Jumuiya ya Madola
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete.
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa 12 wa watumishi wa umma wa nchi za Afrika ambazo ni wanachama Jumuiya ya Madola utakaonza Jumatatu ijayo jijini Dar es salaam.
Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete na kufungwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mheshimiwa Dokta Ali...
11 years ago
BBCSwahili12 Jan
Michuano ya Tennis kuanza Tanzania
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika