Adakwa akienda kutupa kichanga!
Kichanga kilichotaka kutupwa na mama yake.
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Wakati watu wengi wakisaka watoto kwa udi na uvumba, mama anayejulikana kwa jina la Ruth, mkazi wa Mbezi jijini Dar amenusurika kichapo kutoka kwa wananchi baada ya kumdaka akiwa kwenye harakati za kutaka kumtupa mtoto baada ya kujifungua.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio, siku ya tukio, Desemba 14, mwaka huu, majira ya saa 2 asubuhi, walimuona Ruth ambaye alikuwa mjamzito akilalamika kuwa tumbo...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Mbaroni kwa kutupa kichanga
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Theresia Matia (19) mkazi wa Kwamatiasi, Wilaya ya Kibaha, Pwani kwa tuhuma za kutupa mtoto mchanga. Tukio hilo limetokea juzi, saa 3 usiku ambapo...
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Mbaroni kwa kutupa kichanga porini
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kgTogVO-CgI/U4bMyuvpKDI/AAAAAAAFmBQ/PyqPzr9Rc5o/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
MSICHANA WA KAZI ATIWA MBARONI KWA KUTUPA KICHANGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-kgTogVO-CgI/U4bMyuvpKDI/AAAAAAAFmBQ/PyqPzr9Rc5o/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
MSICHANA Theresia Matai (19) ambaye ni mfanyakazi wa ndani mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani anashaikiliwa na Jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumtupa mtoto wake aliyejifungua.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 27 mwaka huu majira ya saa 3 usiku.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea eneo la Mwembe...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Bwana harusi aaga akienda harusini
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Afa kwa radi akienda kilabuni
MKAZI wa kitongoji cha Ngena, wilayani hapa, Watsoni Mwakiposa (80) amefariki dunia baada ya kupigwa na radi akielekea kwenye kilabu cha pombe. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Ofisa Mtendaji...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3Paa8dgNGDwrojvMnLLowspsNedNIi1099FUpy6-kiuqBP6b8PE-3W-SY4XOe59Em7RtHhIna5nVsEp9hFV6ZbC/MMMM.jpg)
MTOTO AFA MAJI AKIENDA KANISANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1col*XHEn-d3nu8FHhvAGyZgLIWyR9xAKWf9dlNzWWGuGNlsNW-Jtvn-olFRoOzRJ6gu6UZQcY3WdaOPdLc5y5Kn/shry.jpg)
SHERRY MAGALI APATA AJALI AKIENDA MSIBANI
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Ballali hakuwa mgonjwa wakati akienda Marekani