Afa kwa radi akienda kilabuni
MKAZI wa kitongoji cha Ngena, wilayani hapa, Watsoni Mwakiposa (80) amefariki dunia baada ya kupigwa na radi akielekea kwenye kilabu cha pombe. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Ofisa Mtendaji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nc61tuPNc3Paa8dgNGDwrojvMnLLowspsNedNIi1099FUpy6-kiuqBP6b8PE-3W-SY4XOe59Em7RtHhIna5nVsEp9hFV6ZbC/MMMM.jpg)
MTOTO AFA MAJI AKIENDA KANISANI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
5 years ago
CCM BlogMAJALIWA AWASILI NACHINGWEA AKIENDA RUANGWA KWA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s72-c/IMG-20150415-WA0024.jpg)
NEWZZ ALERT; WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA KWA MAZISHI MCHANA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s1600/IMG-20150415-WA0024.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uIyJDVPEHco/VS40KFfYyFI/AAAAAAAHRPQ/TxKVrru3pkI/s1600/IMG-20150415-WA0026.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Kanali Mstaafu Issa Machibya akisoma salamu za rambi rambi za mkoa wakati wa kuaga miili ya Wanafunzi na...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
17 wajeruhiwa kwa radi Mwanza
WANAFUNZI 17 wa Shule ya Sekondari ya Kabuholo wilayani Ilemela jijini Mwanza, wamejeruhiwa na radi. Tukio hilo limetokea jana asubuhi ambapo radi iliwapiga wanafunzi 15 wa kidato cha nne, mmoja...
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Mama, mtoto wafa kwa radi Mpanda
MAMA na mtoto wake, wakazi wa Kijiji cha Mnyagala, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwao. Waliokufa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG8WuqS1WjdK1QrezlN8vNMXncA0AvxWFN9A6NwKMAF4YbaPB0oqWb1U2sECbqXS7sHq7ROh2p8JxlvLe28lTKEb/Radikigoma.jpg?width=650)
WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA
10 years ago
StarTV15 Apr
Watu wanane wafariki, 15 kujeruhiwa kwa Radi Kigoma.
Na Richard Katunka,
Kigoma.
Watu wanane wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kwenye mvua kubwa iliyonyesha mjini Kigoma kwa saa tatu.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni Dokta Fadhili Kibaya amewataja waliofariki kuwa ni pamoja na Yusuf Athuman, Hassan Ally, Fatuma Sley, Zamda Seif, Shukrani Yohana na Warupe Kapupa ambao ni wanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Kibirizi.
Mwalimu aliyefariki ametambuliwa kwa jina la...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Miili minane ya waliofariki dunia kwa radi yaagwa