MAJALIWA AWASILI NACHINGWEA AKIENDA RUANGWA KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Nachingwea akiwa njiani kwenda Ruangwa kwa ziara ya kikazi, Juni 20, 2020. Wa pili kushoto ni mkewe Mary na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi, wakati walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa nachingwea akiwa njiani kwenda Ruangwa kwa ziara ya kikazi Juni 20,...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FK7Othc0jv4/XltqpsM5RbI/AAAAAAALgMk/ppfIXS-iVHs-e8lUuZ3__inZuDmQs2kMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWASILI TANGA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FK7Othc0jv4/XltqpsM5RbI/AAAAAAALgMk/ppfIXS-iVHs-e8lUuZ3__inZuDmQs2kMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Mkuu awasili Qatar kwa ziara ya kikazi
Lengo la ziara ya Waziri Mkuu ni kukuza mahusiano baina ya nchi hizi mbili, kuangalia fursa za kiuchumi na miradi mikubwa inayoweza kuzinufaisha nchi hizo na nje ya mipaka yake kwenye Ghuba ya Arabuni (Arabian Gulf) na bara la Afrika.
Vile vile Waziri Mkuu anatarajiwa kutangaza fursa za uwekezaji nchini Tanzania,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s72-c/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
DKT. BASHIRU AWASILI MTWARA KWA ZIARA YA KIKAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-vcvftBdhOik/Xk_Ql80z2sI/AAAAAAALeqs/4oRuY7DmOSY4mhP1--TvGuFfI7vRuZrSgCLcBGAsYHQ/s640/122bf8b2-c185-4b26-acf5-7f4a2149efeb-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/42f6752a-3e55-422d-9884-62e30152b863-1024x683.jpg)
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally amewasili Mkoani Mtwara kwa ziara ya siku tatu.
Dkt. Bashiru amewasili asubuhi ya leo tarehe 21 Februari, 2020 uwanja wa ndege wa Mtwara mjini na kupokelewa na mamia ya wanachama, wapenzi na mashabiki wa CCM.
Katibu Mkuu atatembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo katika wilaya za Mtwara Vijijini na Masasi na kuzindua mashina ya wakereketwa wa CCM ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa maagizo ya Halmashauri Kuu ya CCM ya...
5 years ago
MichuziMASAUNI AWASILI MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AWASILI ZANZIBAR KWA ZIARA YA KIKAZI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (katikati) akizungumza na Kamishna wa Polisi Zanzibar, Mohamed...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AWASILI OMAN KWA ZIARA YA KIKAZI
10 years ago
Dewji Blog14 Sep
Pinda awasili Tanga kwa ziara ya kikazi ya siku moja
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wasanii wa kikundi cha wanawake wa cha Tanga cha Msanja baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Tanga kwa ziara ya siku moja ya kikazi Kulia ni Mkuu wa Mkoa huo Chiku Gallawa. (Picha na Ofisi ya Waziri...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s72-c/20150217_143347.jpg)
Mhe. Mohammed Aboud Awasili Dubai kwa ziara ya Kikazi
![](http://4.bp.blogspot.com/-r3YRyut4VxM/VONt0ZGKAdI/AAAAAAADZuo/R5ypRZ_wZhE/s1600/20150217_143347.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Mohammed Aboud, amewasili Dubai kwa ziara ya kikazi.
Akiwa Dubai, Mhe. Aboud atafanya mazungumzo na Kamati ya Maandalizi ya Maonyesho ya Biashara ya Dunia 2020 (World Expo2020).
Aidha, atafanya mazungumzo na Nd. Islam Balhabou, Mfanyabiashara Mtanzania ambaye amejitolea kufungua afisi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s72-c/unnamed+(45).jpg)
JK AWASILI KINSHASA KWA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU MBILI DRC
![](http://1.bp.blogspot.com/-41aEfn-kODY/U23Qg6hQaEI/AAAAAAAFgoA/kCpwze6UEcs/s1600/unnamed+(45).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v6ZETo-IuLo/U23QhIFaHmI/AAAAAAAFgn4/UUvGPi7fo1o/s1600/unnamed+(46).jpg)