17 wajeruhiwa kwa radi Mwanza
WANAFUNZI 17 wa Shule ya Sekondari ya Kabuholo wilayani Ilemela jijini Mwanza, wamejeruhiwa na radi. Tukio hilo limetokea jana asubuhi ambapo radi iliwapiga wanafunzi 15 wa kidato cha nne, mmoja...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7KG1WK4u-PU/XvY7ySPj2EI/AAAAAAALvmw/4TkEtmYiBVUSJJ7Gp98J6KU7eZlek9kZACLcBGAsYHQ/s72-c/radi.jpeg)
RADI YAUA WATU WANNE, WENGINE 27 WAJERUHIWA WAKIWA KWENYE MTUMBWI WILAYANI UKEREWE
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
WATU wanne wameripotiwa kufariki Dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye mtumbwi waliokua wakisafiria katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Akizungunza leo kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Muliro Jumanne amesema lilitokea Juni 23 mwaka huu ,saa mbili asubuhi katika Kitongoji cha Busele kilichopo Kata ya Bubiko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Kamanda Muliro amesema mtumbwi huo wa abiria unaojulikana kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://lh4.ggpht.com/-35uMpvEVfIE/VC0Bk5n_ksI/AAAAAAAAdFs/ok9J7MpU2VE/s72-c/1_12.jpg)
Radi yawajeruhi wanafunzi 17 Wilayani Ilemela jijini Mwanza
![](http://lh4.ggpht.com/-35uMpvEVfIE/VC0Bk5n_ksI/AAAAAAAAdFs/ok9J7MpU2VE/s640/1_12.jpg)
Akizungumza na mwandishi wetu jana, Mwalimu wa mazingira wa shule hiyo, Humphrey Massawe, alisema tukio hilo lilitokea wakati wanafunzi hao wakiwa darasani huku mvua kubwa
ikiendelea...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s72-c/IMG-20150415-WA0024.jpg)
NEWZZ ALERT; WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA KWA MAZISHI MCHANA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s1600/IMG-20150415-WA0024.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uIyJDVPEHco/VS40KFfYyFI/AAAAAAAHRPQ/TxKVrru3pkI/s1600/IMG-20150415-WA0026.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Kanali Mstaafu Issa Machibya akisoma salamu za rambi rambi za mkoa wakati wa kuaga miili ya Wanafunzi na...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Afa kwa radi akienda kilabuni
MKAZI wa kitongoji cha Ngena, wilayani hapa, Watsoni Mwakiposa (80) amefariki dunia baada ya kupigwa na radi akielekea kwenye kilabu cha pombe. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Ofisa Mtendaji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG8WuqS1WjdK1QrezlN8vNMXncA0AvxWFN9A6NwKMAF4YbaPB0oqWb1U2sECbqXS7sHq7ROh2p8JxlvLe28lTKEb/Radikigoma.jpg?width=650)
WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Mama, mtoto wafa kwa radi Mpanda
MAMA na mtoto wake, wakazi wa Kijiji cha Mnyagala, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda, mkoani Katavi, wamefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakiwa njiani kuelekea nyumbani kwao. Waliokufa...
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Miili minane ya waliofariki dunia kwa radi yaagwa
10 years ago
StarTV15 Apr
Watu wanane wafariki, 15 kujeruhiwa kwa Radi Kigoma.
Na Richard Katunka,
Kigoma.
Watu wanane wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kwenye mvua kubwa iliyonyesha mjini Kigoma kwa saa tatu.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni Dokta Fadhili Kibaya amewataja waliofariki kuwa ni pamoja na Yusuf Athuman, Hassan Ally, Fatuma Sley, Zamda Seif, Shukrani Yohana na Warupe Kapupa ambao ni wanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Kibirizi.
Mwalimu aliyefariki ametambuliwa kwa jina la...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Watatu wauawa kwa risasi, sita wajeruhiwa