Miili minane ya waliofariki dunia kwa radi yaagwa
Vilio na simanzi jana vilitawala katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wakati salamu za mwisho zikitolewa kwa miili ya watu wanane waliofariki dunia juzi kwa kupigwa na radi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG8WuqS1WjdK1QrezlN8vNMXncA0AvxWFN9A6NwKMAF4YbaPB0oqWb1U2sECbqXS7sHq7ROh2p8JxlvLe28lTKEb/Radikigoma.jpg?width=650)
WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA
Miili ya wanafunzi sita, Mwalimu mmoja na mkazi wa eneo la Bangwe ikiwa tayari kwa kuagwa katika viwanja vya shule ya Msingi Kibirizi mkoani Kigoma. Wanajeshi wa JWTZ wakiingiza miili ya marehemu katika viwanja vya shule ya msingi Kibirizi kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho. Watu wanane wakiwemo wanafunzi sita wa shule ya msingi Kibirizi, mwalimu mmoja pamoja mkazi wa eneo la Bangwe mjini hapo walipoteza maisha hapo jana...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s72-c/IMG-20150415-WA0024.jpg)
NEWZZ ALERT; WALIOFARIKI KWA RADI MKOANI KIGOMA WAAGWA KWA MAZISHI MCHANA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iGlDNCXKt0s/VS4z532a2XI/AAAAAAAHRPI/MkD-wZe67DE/s1600/IMG-20150415-WA0024.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uIyJDVPEHco/VS40KFfYyFI/AAAAAAAHRPQ/TxKVrru3pkI/s1600/IMG-20150415-WA0026.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma,Kanali Mstaafu Issa Machibya akisoma salamu za rambi rambi za mkoa wakati wa kuaga miili ya Wanafunzi na...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Deo-Filikunjombe.jpg?width=650)
MIILI YA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENGINE WAWILI YAAGWA LUGALO
Mbunge wa Jimbo la Ludewa aliyekuwa anamaliza muda wake, Deogratias Filikunjombe enzi za uhai wake. Majeneza yenye miili ya marehemu yakiandaliwa kwa kuagwa. Ndugu, jamaa na marafiki wakipita kwenye majeneza yenye miili ya marehemu kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho. Waombolezaji wakionekana wenye huzuni wakati wa kuaga miili ya marehemu.…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Deo-Filikunjombe.jpg)
MIILI YA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENGINE WAWILI YAAGWA DAR
Mbunge wa Jimbo la Ludewa aliyekuwa anamaliza muda wake, Deogratias Filikunjombe enzi za uhai wake. Majeneza yenye miili ya marehemu yakiandaliwa kwa kuagwa. Ndugu, jamaa na marafiki wakipita kwenye majeneza yenye miili ya marehemu kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho. Waombolezaji wakionekana wenye huzuni wakati wa kuaga miili ya marehemu.…
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s72-c/20151002054424.jpg)
MIILI YA VIJANA WA JKT WALIOPATA AJALI YA GARI BULOMBORA YAAGWA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx30FH1CmRg/Vg597HA2uXI/AAAAAAAH8Wk/X1qZ5sjoZhE/s640/20151002054424.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FxHjWHWndvA/Vg597OerH9I/AAAAAAAH8Ws/DjLX09WUd14/s640/20151002054427.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-57YmdUy3vHw/Vg598t0w3fI/AAAAAAAH8W8/QZWoPbQQhJk/s640/20151002054434.jpg)
Baadhi ya viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa mkoa wa Kigoma wakitoa heshima zao za mwisho kwa askari wa kikosi cha 821 JKT bulombora waliopata ajali ya gari jana na kufariki dunia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-S3um5pSwGOg/Vg59-Qx5EsI/AAAAAAAH8XM/pftn9ZAqUWQ/s640/20151002054438.jpg)
Askari kutoka vikosi na majeshi mbalimbali wakiwa mbele ya majeneza ya askari wenzao wa kikosi cha 821 JKT Bulombora waliofariki jana kwa ajali kwaajili ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XIbwni2OPnA/VJiURzEbUXI/AAAAAAAG5IY/XlIu69ch3kA/s72-c/unnamed%2B(17)%2Bcopy.jpg)
NEWS ALERT: MIILI YA WATU 14 WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MELI YA CONGO YAIBUKA KIGOMA, ZAZIKWA NA SREKALI YA TANZANIA
Na Editha Karlo Globu ya Jamii,Kigoma
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
JUMLA ya maiti 14 zimezikwa baada ya makubaliano baina ya serekali ya Tanzania na serekali ya Demokrasia ya Congo(DRC)ambapo katika mazishi hayo serekali ya Congo iliwakilishwa na Balozi wa Congo kutoka ubalozi mdogo wa DRC Mkoani Kigoma.
Akizungumza muda mfupi baada ya mazishi ya raia hao Balozi mdogo wa DRC nchini kutoka Ubaozi mdogo Mkoani hapa,Mh. Riki Moleme alisema.
Mh. Maleme alisema kuwa amefarijika sana kwa namna serekali ya Tanzania...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Waliofariki dunia ajalini watambuliwa
>Watu 35 waliofariki dunia katika ajali iliyohusisha magari matatu eneo la Sabasaba Wilaya ya Butiama mkoani Mara wametambuliwa.
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Waliofariki dunia ajalini Dar watajwa
JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam, limetaja majina ya watu sita walifariki dunia katika ajali mbaya ya daladala yenye namba za usajili T 337 BEF, iliyotokea juzi eneo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania