Yaleyaleeee......uchimbaji mchanga mto mbezi jijini Dar es salaam waendelea kama kawa
Pamoja na kupigwa marufuku mara kadhaa wachimabji hawa bado wameendelea kuchimba mchanga katika Mto Mbezi huku wakijaza magari makubwa yasiyo na idadi na tena wakifanya kazi hii mchana kweupeeee pyeeee bila hata kuwa na woga.
Wachimbaji hawa wamekuwa wakifanya hivi kila inaponyesha mvua kubwa inayokusanya mchanga mwingi kutoka eneo jingine kusogeza eneo hili, na wao wamekuwa wakiuhamisha mchanga huo kwa kuuchimba na kuupakia katika magari na kisha kwenda kuuza. Zoezi hili linachangia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s72-c/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LjCf9sd3oW4/VXkVY_nZppI/AAAAAAAAQzg/YDqOYaYS77Y/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7LaPsJXjmjY/VXkVZVTjbSI/AAAAAAAAQzk/9OQw9osZvsQ/s640/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-l5Zn9TNjz0g/VXkVYIWseWI/AAAAAAAAQzY/-kMHAdr6vWA/s640/1.jpg)
MKUU WA WILAYA YA KINONDONI PAUL MAKONDA APIGA MARUFUKU UCHIMBAJI MCHANGA MTO MBEZI NA KAWE
10 years ago
Vijimambo28 Dec
DIAMOND NDANI BURUNDI NI SHIIIIDA ZARI KAMA KAWA KAWA DAWA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/240.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/39.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/46.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/55.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/66.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/76.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/1515782_813759588680773_361530474_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10843796_1600128320221330_1387340386_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10848256_1562372814004909_1103692674_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864869_1532023193734930_727265778_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864970_1592259054322814_1268864582_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10890552_323662227824937_934916415_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10891006_431393020343188_1378749524_n.jpg)
Picture by http://instagram.com/wcb_wasafi Picha kwa hisani ya DjChoka.
9 years ago
VijimamboPAMCA WAENDELEA NA MKUTANO WAO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Dewji Blog20 May
Wateja wa viwanja Lindi waendelea kusaini hati jijini Dar e Salaam
Afisa Ardhi wa Lindi anayeshughulikia hati hizo jijini Dar es Salaam Mpoki Daimon (katikati), akimpa maelezo mmoja wa wateja waliofika kwenye ofisi za UTT-PID, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya zoezi hilo la saini. Kushoto kwake ni Afisa wa UTT-PID ambao ndio wawezeshaji wakuu wa mradi huo, Martin Mchanjila.
Na Mwandishi Wetu
Wateja wa mradi wa Viwanja vilivyopo Manispaa ya Lindi wameendelea kusaini hati zao jijini Dar es Salaam kwa uratibu wa Manispaa ya Lindi kwa ushirikiano na Taasisi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TGgojEojrMw/Xk_pqK1TfOI/AAAAAAALetM/xs1pitK35CcWa7uhHnIRF7eGiYnVCnbvwCLcBGAsYHQ/s72-c/0003.jpg)
Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-TGgojEojrMw/Xk_pqK1TfOI/AAAAAAALetM/xs1pitK35CcWa7uhHnIRF7eGiYnVCnbvwCLcBGAsYHQ/s640/0003.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oX_6U4rMoAs/Xk_pqNnbVOI/AAAAAAALetI/zSdfqhJ26g4TQhs5xhFmrgiCfP3mxwB7ACLcBGAsYHQ/s640/000066.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sXwV_iht6ao/Xk_pqMCHetI/AAAAAAALetE/Lsatc2bh6n0kA_j6VAMhA1dXmxdbsheYACLcBGAsYHQ/s640/000077.jpg)
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
PAMCA: Waendelea na mkutano wao jijini Dar es Salaam kufikia tamati leo
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s72-c/b1.jpg)
TUZO ZA RAIS KWA MAKAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI NCHINI ZAKABIDHIWA JIJINI DAR ES SALAAM NA MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-j-iHGcEDI6c/VTdeFgwRjtI/AAAAAAAASpQ/7SpH2BpVw8M/s1600/b1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s72-c/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)
BOMOA BOMOA YAWAFIKIA WANANCHI WANAOISHI PEMBEZONI MWA BONDE LA MTO MSIMBAZI JIJINI DAR ES SALAAM.
![](http://3.bp.blogspot.com/-B-SxNEoeDs0/VnKSJH442uI/AAAAAAAINEQ/jBuHXSdlYhs/s640/6afb3919-f5fb-449e-a8c8-df74de441ace.jpg)