Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakala wa Forodha nchini watishia kugoma

CHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetishia kugoma baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuzitaka kampuni hizo kuwa na Sh milioni 100 kama inataka kupata leseni ya uwakala.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MAWAKALA WA FORODHA NCHINI WAASWA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA HIMAYA MOJA YA FORODHA YA AFRIKA MASHARIKI ( SINGLE CUSTOM TERRITORY )

1 Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi akiongea na viongozi wa Chama cha Mawakala wa Forodha na kuwataka mawakala wa Tanzania kujisajili katika mfumo wa uondoshaji wa Himaya moja ya Forodha(SINGLE CUSTUM TERRITORY) ili kuwezesha uondoshwa wa mizigo kwa haraka zaidi pindi mfumo huo utakapoanza kutumika kwani mifumo huo na watanzania tayari zinawasiliana mpaka sasa, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam Kushoto ni Naibu Kamishna wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mawakala wa forodha nchini waaswa kujisajili kwenye mfumo wa himaya moja ya forodha ya afrika mashariki(SINGLE CUSTOM TERRITORY)

Na Hassan Silayo-MAELEZO Mawakala wa Forodha nchini wameaswa kujisajili katika mfumo wa uondoshaji mizigo wa Himaya moja ya Forodha ya Afrika Mashariki (Single Custom Territory) utakao anza kutumika hivi Karibuni. Hayo yamesemwa na Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi wakati mkutano na Viongozi na wanachama wa Chama cha Mawakala wa Forodha (TAFA) Bw. Kabisi alisema kuwa mawakala wa forodha nchini hawana budi kufanya hivyo ili kuwezesha uondoshwaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chawaphata watishia kugoma

CHAMA cha Wamiliki wa Famasi nchini (Chawaphata), kimetishia kufanya mgomo wa kufunga maduka yao kama njia mojawapo ya kushinikiza kufanyiwa kazi kwa matatizo yanayowakabili kwa muda mrefu. Mwenyekiti wa Chawaphata,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Chemba watishia kugoma

WAFANYAKAZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wanakusudia kugoma kufanya kazi baada ya serikali wilayani humo kuzuia mishahara yao kwa miezi mitatu sasa kwa madai ya kutochangia sh...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Tunduma watishia kugoma

WAFANYABIASHARA wa Samaki na Dagaa Mamlaka ya mji wa Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya wamekusudia kugoma kutoa huduma kwa lengo la kuishinikiza serikali kupunguza viwango vya ushuru wa bidhaa hiyo....

 

10 years ago

Habarileo

Madereva mabasi,malori watishia kugoma

MADEREVA wa malori na mabasi yanayofanya safari za ndani na nje ya nchi, wametishia kugoma kufanya kazi kuanzia Ijumaa ijayo, ikielezwa ni kutaka kuishinikiza serikali kutatua changamoto zinazowakabili katika utoaji wa huduma za usafiri nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu Congo watishia kugoma endapo..!

Waalimu wa uvira na Fizi,mkoani kivu kusini ,watishia mgomo iwapo hawatalipwa mishahara yao,mbongo eeeh mbongo ee bimaaa!...

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva watishia kugoma wiki ijayo

Chama cha Wafanyakazi Madereva Tanzania (Tadwu) kimeazimia kufanya mgomo nchi nzima Agosti 17, mwaka huu ambao pia utahusisha daladala endapo madai yao hayatafikiwa katika kikao kitakachofanyika Alhamisi wiki hii.

 

9 years ago

Mwananchi

Mawakala pembejeo wadaiwa kugoma

Mawakala wa kusambaza pembejeo za ruzuku Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya, inadaiwa wamegoma kufanya kazi hiyo na kusababisha wakulima kuchelewa kuanza muda wa kupanda mbegu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani