MAWAKALA WA FORODHA NCHINI WAASWA KUJISAJILI KWENYE MFUMO WA HIMAYA MOJA YA FORODHA YA AFRIKA MASHARIKI ( SINGLE CUSTOM TERRITORY )
Kamishna wa Forodha Kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Kabisi akiongea na viongozi wa Chama cha Mawakala wa Forodha na kuwataka mawakala wa Tanzania kujisajili katika mfumo wa uondoshaji wa Himaya moja ya Forodha(SINGLE CUSTUM TERRITORY) ili kuwezesha uondoshwa wa mizigo kwa haraka zaidi pindi mfumo huo utakapoanza kutumika kwani mifumo huo na watanzania tayari zinawasiliana mpaka sasa, Wakati wa Mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam Kushoto ni Naibu Kamishna wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XAc4TY_7Ld0/VYroPWhqWmI/AAAAAAAHjmc/hVzH-GWrbz8/s72-c/unnamed%2B%252825%2529.jpg)
Mawakala wa forodha nchini waaswa kujisajili kwenye mfumo wa himaya moja ya forodha ya afrika mashariki(SINGLE CUSTOM TERRITORY)
10 years ago
Habarileo21 Mar
Mfumo himaya moja ya Forodha warahisisha utendaji bandarini
MFUMO wa Himaya moja ya Forodha kwa nchi za Afrika Mashariki umeongeza shehena ya mizigo kutoka nchi jirani inayopitishwa katika bandari ya Dar es Salaam, na kuwezesha muda wa kusafirisha bidhaa na kuzifikisha katika nchi husika kupungua kutoka siku saba hadi siku mbili.
10 years ago
MichuziTRA YATOA SEMINA YA HIMAYA MOJA YA FORODHA KWA TUME YA MIPANGO
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Habarileo08 Aug
Mawakala wa Forodha nchini watishia kugoma
CHAMA cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TAFFA) kimetishia kugoma baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuzitaka kampuni hizo kuwa na Sh milioni 100 kama inataka kupata leseni ya uwakala.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/viirmOBcoEHoLK7ABVaqf26msbIVPF6W2lqFuOFfQQlYEDD3wJnGLJh2ISmBhPO2-UoyuIpYDOEWiMKq4ls8QQfx57ir7HyO/1.jpg?width=650)
WANACHAMA WA CHAMA CHA MAWAKALA WA FORODHA TANZANIA WAJIUNGA NA PSPF
10 years ago
StarTV29 Dec
Idara ya Forodha yakabiliwa na ukosefu wa mizani.
Na Amina Saidi, Mbeya.
Idara ya Forodha na Ushuru katika mpaka wa Tanzania na Malawi uliopo wilayani Kyela mkoani Mbeya inakabiliwa na tatizo la ukosefu wa mizani kwa ajili ya kupimia mizigo inayovushwa katika mpaka huo.
Kutokana na tatizo hilo baadhi ya mizigo inayovushwa mpakani hapo haitozwi ushuru halisi kulingana na uzito iliyonayo na hivyo kuitia serikali hasara kwa kukusanya mapato madogo.
Katika mpaka wa Tanzania na Malawi ambao unajulikana kwa jina la Kasumulu, mpaka huu una...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Rais Nkurunzinza awaonya maofisa forodha
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Kandoro aagiza wafanyakazi wa Forodha watiwe mbaroni
11 years ago
Tanzania Daima29 May
SMZ yazuia kushusha mizigo Forodha Mchanga
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imeamua eneo la Forodha Mchanga lisitumike kwa kushusha au kupakia mizigo kwa sababu za kiusalama. Naibu Waziri wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano, Issa Haji...