Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgomo wa waalimu Kenya waendelea

Muungano wa vyama vya wafanyakazi nchini Kenya kimetoa ilaani ya siku 7 kwa serikali kutekeleza agizo la nyongesa ya mishahara kwa waalimu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wa Strabag waendelea na mgomo

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag, inayotekeleza mradi wa mabasi ya kasi, Dart, wameendelea na mgomo ulioanza juzi kushinikiza uongozi uwalipe malimbikizo ya posho zao za takriban miezi saba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mgomo matumizi ya EFD waendelea

Sakata la wafanyabishara kuendelea kugomea mashine za elektroniki, limechukua sura mpya baada ya maeneo mbalimbali kutangaza kuzikataa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara Songea waendelea na mgomo

WAFANYABIASHARA  ya  maduka  katika  Halmashauri  ya Manispaa  ya  Songea, mkoani  Ruvuma, wameingia  katika  siku  ya  tatu  ya  mgomo  usiokuwa   na  kikomo, hali ambayo imesababisha  adha  kubwa  kwa  wakazi  wa  manispaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waalimu 100 Kenya wasimamishwa kazi

Tume ya huduma ya walimu nchini Kenya, imewafungia zaidi ya walimu mia moja kwa makosa ya udhalilishaji wa kijinsia

 

10 years ago

Michuzi

Madereva waendelea na Mgomo wao leo

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiwa katika majadiliano na Maafisa wa Jeshi la Polisi juu ya namna ya kuumaliza mgomo wa Madereva wa Mabasi katika stendi kuu ya Ubungo, Jijini Dar es salaam leo. Hapo wanasubiriwa viongozi wa Madereva hao.Hali ilivyo Stendi Kuu ya Mabasi, Ubungo jijini Dar hivi sasa. hakuna basi lililoweza kuondoka siku ya leo.
Kikao cha nje kikiendelea.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda (kushoto) akiambatana na Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama...

 

11 years ago

KwanzaJamii

CHUO KIKUU IRINGA WAENDELEA NA MGOMO

Na Friday Simbaya, Iringa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (zamani Chuo Kikuu cha Tumaini) kutoka vitivo vyote wamegoma kuingia madarasani kuushinikiza uongozi wa chuo hicho kutafuta njia mbadala ya kuwapatia fedha za kujikimu na chakula wakati wanaposubiri fedha zao kutoka Bodi ya Mikopo ambazo zimechelewa kutolewa. Wanafunzi hao wamesema hali yao ni mbaya na hawezi kusoma kutokana na mazingira waliyonayo kwa sasa kwani hata chakula kukipata kwao imekuwa ni changamoto kubwa. Tatizo la...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMO WA MADEREVA WAENDELEA KUCHUKUA SURA MPYA

Kikosi cha usalama cha Jeshi la Polisi kikiwa katika eneo la Mbagala rangi tatu kuhakikisha hali ya usalama inapatikana kufuatia Mgomo wa Madereva wa Mabasi ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao kutoka kwa Serikali. Mabasi yanayofanya safari zake kati ya Dar es salaam na mikoa ya kusini yakiwa yameegeshwa kwenye kituo cha Mbagala langi tatu, kufuatia Mgomo wa Madereva ulioanza leo kwa mara nyingine kushinikiza kutekelezewa matakwa yao kutoka kwa Serikali. hadi...

 

10 years ago

StarTV

Mgomo wa Madereva waendelea, suluhu njia panda.

Na Grace Semfuko,

Dar Es Salaam.

 

Madereva wa mabasi ya abiria yanayofanya safari zake mikoani na nchi jirani yamesitisha safari zake kwa madai ya kuboreshewa maslahi yao ikiwepo mikataba ya kazi, posho za safari, mishahara inayokidhi mahitaji pamoja na bima zao.

 

Mbali na madereva hao kugoma, safari za ndani za  jiji la Dar Es Salaam pia zimesitisha safari zake kwa madai hayo na kwamba mgomo huo utaendelea hadi hapo Serikali itakapoingilia kati.

 

Hali ya sintofahamu imezuka katika kituo...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYA BIASHARA JIJINI MBEYA WAENDELEA KUJIVUNIA UHODARI WA MAKUFULI YAO KATIKA MGOMO UNAO ENDELEA NCHINI

 Taswira mbalimbali zikionyesha hali ya kufungwa kwa maduka jijini Mbeya kufuatia mgomo wa wafanya biashara unaoendelea nchi nzima.eneo lote la Soko la Mwanjelwa kimyaaaamitaa yote kufuli tuuu.wafanya biashala wakiwa wameketi nje ya maduka yao.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani