Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mke wa Magufuli awaliza walimu, wanafunzi Mbuyuni

Janeth Magufuli bado anasubiri miezi mitatu ya kampeni nzito za kumuwezesha mumewe kuingia kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano, lakini walimu na wanafunzi wa Shule ya Msingi Mbuyuni tayari wanasikitika kumpoteza mwalimu huyo wa jiografia, historia na Tehama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi Manyara wawashukia walimu

WAKATI wadau wa elimu wakitupia lawama kwa wanafunzi na wazazi, wanafunzi mkoani Manyara wamewalaumu walimu wao kwa kutokuwa na mahusiano mazuri wawapo shuleni. Wakizungumza kwenye mkutano wa maadhimisho ya Juma...

 

10 years ago

Vijimambo

WALIMU NA WANAFUNZI WAJISAIDIA VICHAKANI .

Mh Ezekieli Maige Mbunge wa jimbo la msalala.
Na Mohab Matukio SHULE ya msingi Izuga Kata ya ( Isaka Jana) katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga haina vyoo vya walimu na wanafunzi hali ambayo walimu pamoja na wanafunzi inasababisha kujisaidia vichakani kwazamu.
Hayo yalibainika katika risala iliyosomwa na afisa mtendaji wa Kijiji hicho Reuben Macheyeki mbele ya mbunge wa jimbo la Msalala Ezekiel Maige ilisema kwamba shule hiyo tangu ijengwe mwaka 2009 haijawahi kuwa na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Walimu waandamana Nigeria kutetea wanafunzi

Walimu Nigeria wanafanya maandamano ya siku moja kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwatafuta wasichana waliotekwa nyara

 

10 years ago

Mwananchi

Wanafunzi Geita walalamikia kutumikishwa na walimu

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Nyamarere iliyopo Kata ya Nkome mkoani Geita, wamelalamikia kutumikishwa kazi za vibarua na walimu wao.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi wenye virusi walalamikia walimu

BAADHI ya wanafunzi wa shule za msingi mkoani Pwani wenye virusi vya Ukimwi, wamesema baadhi ya walimu huwataka kimapenzi licha ya kuwaeleza ukweli juu ya hali zao kiafya.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu walalamika wanafunzi kukosa maadili

WALIMU wamelalamikia kuwepo kwa maporomoko makubwa ya maadili miongoni mwa wanafunzi na kwamba sheria iliyopo haikidhi kusimamia nidhamu.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wahusishwa na ubakaji kwa wanafunzi

KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kushindwa kuripoti katika dawati hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Utoro wa walimu, wanafunzi wakwamisha BRN Kigoma

WAKATI Serikali ikiwa katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa huku sekta ya elimu ikiwa ni moja ya sekta sita zinazotekeleza mpango huo imeelezwa kuwa utoro wa walimu na wanafunzi umeufanya mkoa Kigoma kushindwa kufikia malengo ya utekelezaji wa mpango huo.

 

11 years ago

Habarileo

Walimu 4 wafukuzwa kazi kwa mapenzi na wanafunzi

WALIMU wanne wa kiume wa Shule ya Sekondari Mwembetogwa ya mjini Iringa, wamefukuzwa kazi baada ya kubainika wakijihusisha na uhusiano wa kimapenzi na wanafunzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani