Waalimu wa madrasa wakuhumiwa jela Uingereza
Waalimu 2 wa madrasa wahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kumpiga mtoto ambaye hakujua kusema maandiko ya Koran kikamilifu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo19 Dec
Mwalimu wa madrasa atupwa jela miaka 7
MWALIMU wa Chuo cha Madrasa kilichopo Chake Chake, Pemba, Said Khamis Salum (31) ameanza kutumikia chuo cha mafunzo jela miaka 7 baada ya kutiwa hatiani kwa kumpa ujauzito mwanafunzi wake mwenye umri wa miaka 15 jina (linahifadhiwa).
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Taylor hataki kufungwa jela Uingereza
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3fWxNBT49xC32pOQZhpq9CIFuNll-Hn4A8NwUZJlDZsMnKoXTZ18JpKCjq7lA1EZkfd0OTn0n0e2h43VcR9wSCA117QcQtJ2/watuhumiwa3.jpg)
WAISLAM WENYE ITIKADI KALI UINGEREZA WAHUKUMIWA JELA MAISHA KWA KUUA
10 years ago
Habarileo03 Apr
Mwalimu wa Madrasa anaswa
MWALIMU wa Madrasa, Alhaji Maulana Shiraz (71) wa Jumuiya za Wi’yatu LiQadria iliyoko kijiji cha Chikundi wilayani Masasi mkoa wa Mtwara, anashikiliwa na Jeshi la Polisi wilaya ya Masasi kwa tuhuma za kukutwa na watoto wadogo wapatao 11, wa kike na wa kiume, kinyume na taratibu na sheria za nchi.
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Jokate Aangushiwa Dua na Watoto wa Madrasa!
Mwanamitindo, mtangazaji muimbaji na muigizaji wa filamu, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, ametembelea kituo cha watoto yatima kilichopo maeneo ya Ubungo jijini Dar kisha kuangushiwa dua ya nguvu na watoto wa madrasa.
Wikiendi iliyopita Jokate alifika kituoni hapo kutoa misaada mbalimbali huku akiwa amejitanda kichwa chake ambapo alijumuika na watoto hao naye akakaa kwenye mkeka ndipo akazungukwa na watoto hao yatima kisha kuombewa dua ili abarikiwe na mambo yake yaende vizuri.
“Nilifurahi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pYQvkPILja8/VDFVZBKzTsI/AAAAAAADIjU/En09gRiRnVo/s72-c/10565852_1435568230066002_194928040_o%2B(1).jpg)
MADRASA RAHMAN SEGEREA INAWAPA MKONO WA EID MUBARAK
![](http://4.bp.blogspot.com/-pYQvkPILja8/VDFVZBKzTsI/AAAAAAADIjU/En09gRiRnVo/s1600/10565852_1435568230066002_194928040_o%2B(1).jpg)
usikose kujumuika
simu +255(0) 757 608303 au 0712840960
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UJ8aoEZo49ay0Qc0zK-yiJOPuwFklAioI6EEzUFSIxbwjoUILG4JmsIYeolCuhaBv*xQvxKeKvnLmd0gJqLajLKvyKip8eaw/FRONTAMANI.gif?width=650)
WAALIMU WAMCHAMBUA MKE WA MAGUFULI
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mgomo wa waalimu Kenya waendelea
5 years ago
MichuziKATIBU WA MUFTI ZANZIBAR AIFUNGA MADRASA KWA KUKITHIRI VITENDO VICHAFU.
Ofisi ya Mufti Zanzibar imeifungia Madrasati Ridhwa Madihi-Rassuli iliyopo maeneo ya uwanja wa timu ya Taifa ya Jang’ombe kutokana na kukithiri vitendo vya udhalilishaji.
Uamuzi huo umechukuliwa na Ofisi ya Mufti kufuatia malalamiko ya baadhi ya wazazi kuharibiwa watoto wao na walimu wa Madrasa hiyo na wanafunzi kwa wanafunzi wenyewe.
Akitoa uamuzi huo Katibu wa Mufti Zanzibar, Sheikh Khalid Ali Mfaume, alisema udhalilishaji huo unafanywa hata kinyume cha maumbile na...