KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR AIFUNGA MADRASA KWA KUKITHIRI VITENDO VICHAFU.
Na Issa Mzee –Maelezo.
Ofisi ya Mufti Zanzibar imeifungia Madrasati Ridhwa Madihi-Rassuli iliyopo maeneo ya uwanja wa timu ya Taifa ya Jang’ombe kutokana na kukithiri vitendo vya udhalilishaji.
Uamuzi huo umechukuliwa na Ofisi ya Mufti kufuatia malalamiko ya baadhi ya wazazi kuharibiwa watoto wao na walimu wa Madrasa hiyo na wanafunzi kwa wanafunzi wenyewe.
Akitoa uamuzi huo Katibu wa Mufti Zanzibar, Sheikh Khalid Ali Mfaume, alisema udhalilishaji huo unafanywa hata kinyume cha maumbile na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Zanzibar wamuenzi Nyerere kwa vitendo, siyo porojo
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)
10 years ago
Mwananchi02 Dec
Ripoti ya Tawla yabaini kukithiri kwa ukatili wa kijinsia
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA
10 years ago
MichuziNaibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar apokelewa kwa shangwe
9 years ago
Habarileo17 Oct
Mufti Zanzibar atoa kauli nzito
VIONGOZI wa dini wa madhehebu mbalimbali Zanzibar, wamewataka viongozi wa vyama vya siasa ikiwemo wagombea wa nafasi ya urais, kukubali na kuheshimu matokeo yatakayotangazwa na taasisi husika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s72-c/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-8eC0AlXm19E/Xk_3YK5ZK1I/AAAAAAALevM/rjGyrMUvausn3Tp8Sz4eNr2yDPOOnLT1ACLcBGAsYHQ/s640/a1c52346-b866-48f9-a6b7-ba8b65c01f90.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/06640c7d-a9e9-44de-93bf-11e78c79fed8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wOLY10rVe2A/Xn-SyVQyW4I/AAAAAAALlaM/XbUkOF4avXsLVkQ02MZoHiYsdBCcZ32PACLcBGAsYHQ/s72-c/d304c5f1-fd63-4c8c-bb56-a01bc20eba8d.jpg)
Mufti Mkuu wa Zanzibar Aongoza Dua Maalum ya Kuiomba Nchi na Maradhi ya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-wOLY10rVe2A/Xn-SyVQyW4I/AAAAAAALlaM/XbUkOF4avXsLVkQ02MZoHiYsdBCcZ32PACLcBGAsYHQ/s640/d304c5f1-fd63-4c8c-bb56-a01bc20eba8d.jpg)
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi,akiongoza dua Maalum ya kuiombea Nchi kutokana na Maradhi ya Corano,iliofanyika kwa njia ya vyombo vya habari katika ukumbi wa ZBC Karume House Zanzibar jana usiku na kuoneshwa moja kwa moja, (kushoto kwa Mufti) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali na ( kulia kwa Mufti) Naibu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s72-c/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMLRpERHWfk/VWwOubSwRxI/AAAAAAAAQJc/ORX7BznU9Tw/s640/E86A8710%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_XIiHO4JWXc/VWwO6ccI90I/AAAAAAAAQLM/HlX3PWk2LXU/s640/E86A8760%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IOA0cKEpUWA/VWwOyhmLyII/AAAAAAAAQKA/B4sfgy9GrOo/s640/E86A8714%2B%2528800x533%2529.jpg)