Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR AIFUNGA MADRASA KWA KUKITHIRI VITENDO VICHAFU.

Na Issa Mzee –Maelezo.

Ofisi ya Mufti Zanzibar imeifungia Madrasati Ridhwa Madihi-Rassuli iliyopo maeneo ya uwanja wa timu ya Taifa ya Jang’ombe kutokana na kukithiri vitendo vya udhalilishaji.

Uamuzi huo umechukuliwa na Ofisi ya Mufti kufuatia malalamiko ya baadhi ya wazazi kuharibiwa watoto wao na walimu wa Madrasa hiyo na wanafunzi kwa wanafunzi wenyewe.

Akitoa uamuzi huo Katibu wa Mufti Zanzibar, Sheikh Khalid Ali Mfaume, alisema udhalilishaji huo unafanywa hata kinyume cha maumbile na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Zanzibar wamuenzi Nyerere kwa vitendo, siyo porojo

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ametimiza miaka miaka 15 tangu kufariki dunia Oktoba 14, mwaka 1999.

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI APOKEA MAGARI MAWILI KUTOKA KAMPUNI YA TRANSAID YA NCHINI UINGEREZA KWA AJILI YA MAFUNZO KWA VITENDO KWA WANAFUNZI WANAOSOMA KOZI YA UDEREVA KATIKA CHUO CHA TAIFA CHA USARIFISHAJI (NIT)

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dkt. Shaaban Mwinjaka (kushoto), akimsikiliza Mkuu wa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT), Dkt. Zakaria Mganilwa ofisini kwake kabla ya kupokea magari mawili ambayo yamekabidhiwa kwa chuo hicho na Shirika la Transaid la nchini Uingereza, hafla ya kukabidhi magari hayo imefanyika leo asubuhi katika viwanja vya NIT. Taswira ya tanker trailer la futi 40 na Folk Lift ambayo yamekabidhiwa kwa Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji (NIT) na Kampuni ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ripoti ya Tawla yabaini kukithiri kwa ukatili wa kijinsia

Chama cha Wanasheria Wanawake (Tawla) kimezindua Ripoti ya Mapitio ya Ukatili wa Kijinsia nchini na kubaini kukithiri kwa matukio hayo waliyodai yanasababishwa na udhaifu wa sheria.

 

10 years ago

Vijimambo

KATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA

Pichani Chini: Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibroad Slaa akisalimiana na baadhi ya waombolezaji baada ya swala ya kumsalia Marehemu Mufti Mkuu wa Tanzania Shehe Issa Shabaan Simba iliyofanyika leo Makao Makuu ya Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA). 

 

10 years ago

Michuzi

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar apokelewa kwa shangwe

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA) - Zanzibar,Bw. Salumu Mwalimu (kulia) akikabidhiwa vifaa vya ofisi kutoka kwa mtangulizi wake,Bw. Hamad Yusuf (kushoto) wakati wa hafla ya kumkaribisha iliyofanyika kwenye ofisi za chama hicho Daraja bovu mjini,Zanzibar jana.Katikati ni Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa.Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeo (CHADEMA) - Zanzibar,Bw. Salumu Mwalimu akiongea kwenye mkutano wa...

 

9 years ago

Habarileo

Mufti Zanzibar atoa kauli nzito

VIONGOZI wa dini wa madhehebu mbalimbali Zanzibar, wamewataka viongozi wa vyama vya siasa ikiwemo wagombea wa nafasi ya urais, kukubali na kuheshimu matokeo yatakayotangazwa na taasisi husika.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZUNGUMZA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC,DKT.TAX IKULU,ZANZIBAR





RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC  Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar alipofika kuonana na kufanya mazungumzo leo 21-2-2020.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali...

 

5 years ago

Michuzi

Mufti Mkuu wa Zanzibar Aongoza Dua Maalum ya Kuiomba Nchi na Maradhi ya Corona



MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi,akiongoza dua Maalum ya kuiombea Nchi kutokana na Maradhi ya Corano,iliofanyika kwa njia ya vyombo vya habari katika ukumbi wa ZBC Karume House Zanzibar jana usiku na kuoneshwa moja kwa moja, (kushoto kwa Mufti) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali na ( kulia kwa Mufti) Naibu...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU KATIBU MKUU CHADEMA,ZANZIBAR SALUM MWALIM ATUNUKU VYETI KWA WANACHAMA WA CHASO MKOA WA KILIMANJARO

Naibu Katibu mkuu wa Chadema Taifa upande wa Zanzibar Salum Mwalimu akizungumza wakati wa mahafali ya Chaso mkoa wa Kilimanjaro yaliyofanyika katika shule ya sekondari Majengo.
Naibu katibu mkuu Chadema Zanzibar,Salum Mwalimu akitunuku yeti kwa wanafunzi wana tarajia kumaliza elimu ya chuo kikuu ambao ni wanachama wa Chaso mkoa wa Kilimanjaro.Baadhi ya wanachama wa Chaso  kutoka vyuo mbalimbali mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katimsikiliza Naibu katibu mkuu wa Chadema taifa,upande wa Zanzibar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani