Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar wamuenzi Nyerere kwa vitendo, siyo porojo

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ametimiza miaka miaka 15 tangu kufariki dunia Oktoba 14, mwaka 1999.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Kamuzora: Wasomi wamuenzi Nyerere kwa vitendo

WASOMI nchini wametakiwa kutumia taaluma zao kubuni njia zitakazoleta suluhisho la matatizo na changamoto mbalimbali za wananchi na kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa na Naibu Makamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa Afrika wamuenzi Mwalimu Nyerere

Umoja wa Nchi za Afrika (AU) umetoa heshima na kumuenzi Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kwa kuita jina lake moja ya majengo yake katika makao makuu ya umoja huo mjini Addis Ababa, Ethiopia.

 

10 years ago

Habarileo

Nyerere hajaenziwa kwa vitendo —Warioba

Mwalimu Julius NyerereIKIWA leo ni miaka 15 tangu kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, imebainika kuwa bado suala la haki na usawa ndani ya jamii ya Watanzania linakosekana na hivyo kushindwa kumuenzi vyema muasisi huyo wa taifa.

 

5 years ago

Michuzi

KATIBU WA MUFTI ZANZIBAR AIFUNGA MADRASA KWA KUKITHIRI VITENDO VICHAFU.

Na Issa Mzee –Maelezo.

Ofisi ya Mufti Zanzibar imeifungia Madrasati Ridhwa Madihi-Rassuli iliyopo maeneo ya uwanja wa timu ya Taifa ya Jang’ombe kutokana na kukithiri vitendo vya udhalilishaji.

Uamuzi huo umechukuliwa na Ofisi ya Mufti kufuatia malalamiko ya baadhi ya wazazi kuharibiwa watoto wao na walimu wa Madrasa hiyo na wanafunzi kwa wanafunzi wenyewe.

Akitoa uamuzi huo Katibu wa Mufti Zanzibar, Sheikh Khalid Ali Mfaume, alisema udhalilishaji huo unafanywa hata kinyume cha maumbile na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanamuziki wamuenzi Gurumo kwa vitendo 

WADAU wa tasnia ya burudani hasa muziki wa dansi nchini wamepata pigo kubwa la kuondokewa na nguli wa muziki, Maalim Muhidin Gurumo (73) aliyefariki dunia Aprili 13, akipatiwa matibabu katika...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Uchumi wa kati’ hautajengwa kwa porojo

Kuna dhana potofu hapa nchini kuhusu nishati ya gesi ambayo imegunduliwa kwa wingi katika maeneo mbalimbali nchini. Dhana hiyo ni kuwa, kugunduliwa kwa nishati hiyo ni neema kwa nchi yetu, kwani sasa kila mwananchi anapaswa kukaa ‘mkao wa kula’. Wananchi wameaswa kujiweka sawa tayari kwa kusema ‘kwa heri’ kwa umaskini.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakwenda: Napenda ubunge wa enzi za Nyerere, siyo wa marupurupu

Miaka 30 iliyopita, kazi ya ubunge ilikuwa ya kujitolea na haikuwa na mvuto kwa watu wengi. Lakini sasa ni balaa. Inavuta watu wa aina mbalimbali wakiwamo maskini, wenye pesa, wanawake, wanaume, maprofesa na hata wa elimu ya chini kabisa ya msingi ili mradi wanajua kusoma na kuandika.

 

9 years ago

Habarileo

Wamuenzi Seth Benjamini wa Azimio la Arusha kwa usafi

KIKUNDI cha hamasa cha kuwaenzi viongozi na waasisi wa Taifa cha Loliondo Group, mkoani Arusha, kimemuenzi shujaa Seth Benjamini aliyefariki dunia akitembea kwa miguu kuunga mkono Azimio la Arusha, kwa kufanya usafi wa mazingira ulioambatana na kusafisha kaburi la shujaa huyo.

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA WA FOREST MBEYA WAMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUFANYA USAFI

Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa na kufanya usafi maeneo yote yanayozungu  kata yako ya Forest kumuenzi Baba wa taifa zoezi hili litaendelea zaidi ya wiki mbili pia wameahidi kumchukulia hatua mtu yeyote yule atakaekiuka kanuni sa usafi kata hiyo ya Forest Hongereni sana vijana wa Forest kwa mfano huo Mbeya yetu tunawapongeza sana  tunaomba vijana wa kata nyingine igeni mfano huu siyo kila siku tuwategemee Halmashauri ya jiji waje...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani