VIJANA WA FOREST MBEYA WAMUENZI BABA WA TAIFA KWA KUFANYA USAFI
![](http://3.bp.blogspot.com/-JUu4o6Zhc1Y/VDzchIRc6HI/AAAAAAAAwrA/tAXrIUx2gKA/s72-c/IMG-20141014-WA0006.jpg)
Vijana wa kata ya Forest jijini Mbeya wameungana pamoja bila ya kujali itikadi zao za kisiasa na kufanya usafi maeneo yote yanayozungu kata yako ya Forest kumuenzi Baba wa taifa zoezi hili litaendelea zaidi ya wiki mbili pia wameahidi kumchukulia hatua mtu yeyote yule atakaekiuka kanuni sa usafi kata hiyo ya Forest
Hongereni sana vijana wa Forest kwa mfano huo Mbeya yetu tunawapongeza sana tunaomba vijana wa kata nyingine igeni mfano huu siyo kila siku tuwategemee Halmashauri ya jiji waje...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo06 Jan
Wamuenzi Seth Benjamini wa Azimio la Arusha kwa usafi
KIKUNDI cha hamasa cha kuwaenzi viongozi na waasisi wa Taifa cha Loliondo Group, mkoani Arusha, kimemuenzi shujaa Seth Benjamini aliyefariki dunia akitembea kwa miguu kuunga mkono Azimio la Arusha, kwa kufanya usafi wa mazingira ulioambatana na kusafisha kaburi la shujaa huyo.
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s72-c/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA MHESHIMIWA FREEMAN MBOWE ASHIRIKI KUFANYA USAFI JIMBONI HAI
![](http://2.bp.blogspot.com/-w0mxKycD2Ec/VYiG0pVXwWI/AAAAAAAAS88/E_hW6f_qGSI/s640/USAFI%2BTAKA%2BIMG-20150620-WA0007.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8_DqrIh76WQ/VYiG3SkgY1I/AAAAAAAAS9E/TtRiiEFi2s8/s640/IMG_20150619_143944_1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Hatimaye vijana wanaosafiri kwa Baiskeli Kutoka Mbeya kuelekea Dar wavuka salama Hifadhi ya Taifa ya Mikumi
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
Hii ilikuwa tarehe 15.06.2015 ambapo Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro aliwaaga rasmi vijana hao ili kuanza safari yao kutoka Mbeya kwenda Dar.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
Safari yao ikiwa imeanza na hapa mmoja wa vijana hao wakiwa safarini na hapa akonesha umahili wa utaalam wa kuchezea Baiskeli maeneo ya Chimala.
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
Tarehe 17.06.2015 waliwasili Iringa na kulala hapo kisha asubuhi kuonana na uongozi wa Polisi Mkoani Iringa.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
Vijana hawa watatu wakiwa Iringa sasa wanahimiza watu kujiandikisha katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s72-c/a.jpg)
HATIMAYE VIJANA WANAOSAFIRI KWA BAISKERI KUTOKA MBEYA KUELEKEA DAR ES SALAAM WAVUKA SALAMA HIFADHI YA TAIFA YA MIKUMI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-iOaJwDDvoug/VYUD4_aIeDI/AAAAAAAAbek/P0Da3qZ0vzc/s640/a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dMcrlJZhaOA/VYUD5cAShvI/AAAAAAAAbeg/D44YzfWDEbs/s640/b.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SNfkZRLO4ic/VYLER50rGGI/AAAAAAAAbZ0/iUoAfR8KAAE/s640/IMG-20150616-WA0098.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mv-OEjpy2Bk/VYLEN130xbI/AAAAAAAAbZA/VOsJVQx3UrI/s640/IMG-20150616-WA0089.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sgFd1Cmt1V8/VmlQ1bxGZBI/AAAAAAAAJT0/QmmoJKtuBfQ/s72-c/Makala%2Bna%2Busafi%2B3.jpg)
RC Makalla awashukuru wananchi kwa kujitokeza kwa wingi kufanya usafi
Na Mwandishi Wetu, KilimanjaroMKUU wa Mkoa Kilimanjaro, Mh Amos Makalla, amewapongeza wakazi na wananchi wake katika mkoa huo kwa kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Magufuli la kufanya usafi na kutunza mazingira katika siku ya Uhuru, 9 Desemba iliyoadhimishwa jana nchini kote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-sgFd1Cmt1V8/VmlQ1bxGZBI/AAAAAAAAJT0/QmmoJKtuBfQ/s640/Makala%2Bna%2Busafi%2B3.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L0mrIXe3D5U/VmhwNSvCW7I/AAAAAAACCzY/kU8OeUZI4es/s72-c/11.jpg)
WIZARA YA FEDHA YAADHIMISHA SHEREHE ZA UHURU KWA KUFANYA USAFI
![](http://2.bp.blogspot.com/-L0mrIXe3D5U/VmhwNSvCW7I/AAAAAAACCzY/kU8OeUZI4es/s640/11.jpg)
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/c80N40DwhOYDj8jDmf1PY-AvdSdwNenaZVy3NZsfUAI4k0m0OKPQeiJARmQ7fiXfiFDz4Kgay-OSrnXKOC0Gk8poRK4CYzOJ3RtKKsW9f7gHR6MXuFOT=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/fe3.jpg)
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/gVRRKf-ZQuRmFmGLdieAB8lb9WTkUhILvji-X2xvCepBNclWgBKK-ixuzPQcprrigpYSWprHf3q6zhvCPmsQoYwQVrZozL9FX1MOaEFoASD-v7Tjv4tn=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/fe7.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira
9 years ago
StarTV02 Dec
 Manispaa Ilala lawamani kwa uhaba wa vitendea kazi vya kufanya usafi
Wafanyabiashara wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wameitaka Manispaa hiyo kuongeza vifaa vya kuweka na kubeba uchafu ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa Mazingira na ugonjwa wa kipindupindu unaohatarisha maisha ya wengi.
Wafanyabiashara hao wamesema iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa suala la ujenzi holela, umwagaji maji taka katika mitaro ya wazi na utupwaji wa taka ovyo utazidi kushamiri.
Startv ilizungumza na baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Kariakoo ambao...