Manispaa Ilala lawamani kwa uhaba wa vitendea kazi vya kufanya usafi
Wafanyabiashara wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wameitaka Manispaa hiyo kuongeza vifaa vya kuweka na kubeba uchafu ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa Mazingira na ugonjwa wa kipindupindu unaohatarisha maisha ya wengi.
Wafanyabiashara hao wamesema iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa suala la ujenzi holela, umwagaji maji taka katika mitaro ya wazi na utupwaji wa taka ovyo utazidi kushamiri.
Startv ilizungumza na baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Kariakoo ambao...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI WA MAZINGIRA VYA SH MIL 15 MANISPAA YA ILALA
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Vitendea kazi ni muhimu kwa usafi wa mazingira
9 years ago
StarTV02 Oct
Uhaba wa walimu, malipo, vitendea kazi bado changamoto
Changamoto zinazoikabili sekta ya elimu nchini zinachangia kurudisha nyuma sekta hiyo na kusababisha wanafunzi kutotambua mahitaji yao baada ya kuhitimu masomo.
Miongoni mwa changamoto hizo ni pamoja na uhaba wa walimu, uwepo wa mitaala isiyokidhi mahitaji ya kielimu, ucheleweshwaji wa malipo kwa walimu na uhaba wa vitabu na vitendea kazi mashuleni.
Changamoto nyingine ni mazingira magumu ya kazi kwa walimu, wingi wa idadi ya masomo kwa wanafunzi pamoja na urundikanaji wa watoto...
11 years ago
Michuzi03 May
WANAHABARI IRINGA WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI DUNIANI KWA KUFANYA USAFI WA MAZINGIRA
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog03 Apr
TBL yatoa msaada wa vifaa vya usafi Ilala
![](http://3.bp.blogspot.com/-2YxUlPAojJE/VR2NH1sd0RI/AAAAAAABQIU/zMle1zYwtA0/s1600/TBL.jpg)
Meneja wa Kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Calvin Martin (wapili kulia), akimkabidhi Mbunge wa Ilala, Mussa Zungu baadhi ya vifaa vya kufanyia usafi kwa ajili ya maeneo ya Mchikichini na Jangwani, Dar es Salaam jana. Kiwanda hicho kilikabidhi vifaa vyenye thamani ya sh. milioni saba pamoja na hundi ya sh. milioni 8 kwa ajili ya kazi ya usafi wa maeneo hayo. Kulia anayemsaidia ni Ofisa Uhusiano na Mawasiliano TBL, Dorris Malulu.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano Kampuni ya Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Vihg84HCNG0/VEaQ1V2rQCI/AAAAAAAGsg0/p0zvjXxPN_Y/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
RITA YAFANIKIWA KUSAJILI WANAFUNZI ELFU 15 NA KUWAPATIA VYETI VYA KUZALIWA MANISPAA YA ILALA.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMul2JVAXVOIc9vA-OsVrVi-RAux-YVh2c0uWDZCx4TUhYDH5zN5lxl-9VZJnYl44xUEqvOlN66RqU*nguBKC0dw/PICT1.jpg?width=750)
AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s72-c/N1.jpg)
NMB YAKABIDHI VIFAA NA VITENDEA KAZI KWA OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s640/N1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLTsqM2s7r4rfRubV9rwF-5V77iTRH2Xqi3omvyvUwe88uPlqhIsx33Dqcp3bDRBrW0cZJB2ADuR8eI4vvkrUuKY/Photo1.jpg)
MSTAHIKI MEYA WA MANISPAA YA ILALA JERRY SILAA AWAAGA WATUMISHI SITA WA AFYA WA MANISPAA HIYO WANAOENDA KUONGEZA UJUZI KOREA KUSINI