Vitendea kazi ni muhimu kwa usafi wa mazingira
Tukio la juzi ambapo Tanzania iliadhimisha miaka 54 ya Uhuru kwa wananchi kufanya usafi wa mazingira, bila shaka litakuwa limeacha kumbukumbu ya kudumu katika nyoyo za wananchi wengi. Tukio hilo litabaki kuwa la kihistoria, kwani tumezoea utamaduni wa kuadhimisha sherehe za kitaifa kwa kufanya mambo mengi yasiyo ya lazima, huku zikitumika fedha nyingi ambazo zingeweza kuelekezwa katika shughuli za maendeleo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV02 Dec
 Manispaa Ilala lawamani kwa uhaba wa vitendea kazi vya kufanya usafi
Wafanyabiashara wa Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wameitaka Manispaa hiyo kuongeza vifaa vya kuweka na kubeba uchafu ili kukabiliana na changamoto ya uchafuzi wa Mazingira na ugonjwa wa kipindupindu unaohatarisha maisha ya wengi.
Wafanyabiashara hao wamesema iwapo hatua stahiki hazitachukuliwa suala la ujenzi holela, umwagaji maji taka katika mitaro ya wazi na utupwaji wa taka ovyo utazidi kushamiri.
Startv ilizungumza na baadhi ya wafanyabiashara katika soko la Kariakoo ambao...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GutZeHmFpMul2JVAXVOIc9vA-OsVrVi-RAux-YVh2c0uWDZCx4TUhYDH5zN5lxl-9VZJnYl44xUEqvOlN66RqU*nguBKC0dw/PICT1.jpg?width=750)
AIRTEL KUENDELEA KUSAIDIA WALEMAVU HAPA NCHINI KWA KUWAONGEZEA VITENDEA KAZI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s72-c/N1.jpg)
NMB YAKABIDHI VIFAA NA VITENDEA KAZI KWA OFISI YA WAZIRI MKUU JIJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0CK7qYvGew0/Xu3lGZtK9eI/AAAAAAALuus/MRuYMlf2KbU5gv6V3_qEKZYMnNWVsExhACLcBGAsYHQ/s640/N1.jpg)
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7BXWgr7OVqw/VojdvAeMUHI/AAAAAAAIQB8/Vu8zb962_HM/s72-c/3d7ebff8-f80d-4ee6-b63d-ac8abd6892ff.jpg)
Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa
![](http://1.bp.blogspot.com/-7BXWgr7OVqw/VojdvAeMUHI/AAAAAAAIQB8/Vu8zb962_HM/s640/3d7ebff8-f80d-4ee6-b63d-ac8abd6892ff.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_puTnAnS1ZM/VojdvT22yjI/AAAAAAAIQCA/QmyDnzeTWfU/s640/9e6e5d27-606d-4e8b-9b76-6c497ce98c0c.jpg)
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Dkt. Shein azindua Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akizoa taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa Sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akibeba taka katika zoezi la Usafi wa mazingira uliofanyika leo eneo la Soko la Mbogamboga Mombasa Mjini Zanzibar ikiwa ni Uzinduzi wa...
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Makandarasi Dar matatani kwa kushindwa kufanya usafi wa mazingira
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s72-c/unnamed+(78).jpg)
Waziri wa Mazingira atoa onyo kali kwa kiwanda cha NIDA Textile Mills Ltd kwa kukiuka taratibu za usafi
![](http://4.bp.blogspot.com/-aE_F3-FoGS8/U8l3cdORocI/AAAAAAAF3gU/TmoGR6rwqRU/s1600/unnamed+(78).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zOhR2A0mxtQ/U8l3cm9gz0I/AAAAAAAF3gY/UfnTAlFvHtc/s1600/unnamed+(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-tMNMUEhIXXk/U8l3c5CO0YI/AAAAAAAF3gc/CcQx-XJewds/s1600/unnamed+(81).jpg)
10 years ago
MichuziUSAFI WA MAZINGIRA UENDANE NA UTOAJI WA ELIMU BORA KWA WANAFUNZI-DC.MUSHI.