‘Uchumi wa kati’ hautajengwa kwa porojo
Kuna dhana potofu hapa nchini kuhusu nishati ya gesi ambayo imegunduliwa kwa wingi katika maeneo mbalimbali nchini. Dhana hiyo ni kuwa, kugunduliwa kwa nishati hiyo ni neema kwa nchi yetu, kwani sasa kila mwananchi anapaswa kukaa ‘mkao wa kula’. Wananchi wameaswa kujiweka sawa tayari kwa kusema ‘kwa heri’ kwa umaskini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Oct
Zanzibar wamuenzi Nyerere kwa vitendo, siyo porojo
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Ukanda wa Kati wapania kukuza uchumi
9 years ago
Habarileo11 Nov
Mataifa 3 uchumi wa kati kuzuru NHIF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo unatarajia kupokea wageni kutoka nchi za Korea Kusini, Ghana na Ethiopia ambao wote kwa pamoja wanakuja kujifunza namna ya uendeshaji wa mifuko ya afya ya jamii.
10 years ago
StarTV17 Jan
Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.
Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Mkakati wa Megawati 10,000 kuiingiza nchi uchumi wa kati
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Tanzania ni mhimili mkuu wa uchumi Afrika Mashariki na Kati
10 years ago
Habarileo12 Sep
JK: Tanzania itakuwa nchi yenye uchumi wa kati 2025
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali imejipanga katika kuhakikisha hadi ifikapo mwaka 2025 Tanzania itakuwa imebadilika kiuchumi kutoka nchi inayoendelea hadi kuwa nchi yenye uchumi wa kati.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZIRI MKUU: SGR, JNHPP MIRADI YAKUTUFIKISHA NCHI YA UCHUMI WA KATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Tanzania imedhamiria kukuza uchumi wake na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda. Ili lengo hilo liweze kufanikiwa ni lazima iwe na miundombinu bora na imara.
Katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli...
9 years ago
MichuziRAIS DK. JAKAYA KIKWETE KUONGOZA KONGAMANO LA KUELEKEA UCHUMI WA KATI IFIKAPO 2025
Na Emmanuel Massaka ,Globu ya JamiiRAIS Dk. Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika...