Mkakati wa Megawati 10,000 kuiingiza nchi uchumi wa kati
Alisema wakati wa kutumia ujuanjaujanja kupata nafasi za kuwekeza katika maeneo muhimu kwa sasa haipo na kinachohitajika ni uwazi wakati wa kuomba fursa hizo muhimu kwa sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Jan
Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.
Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...
10 years ago
Habarileo12 Sep
JK: Tanzania itakuwa nchi yenye uchumi wa kati 2025
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali imejipanga katika kuhakikisha hadi ifikapo mwaka 2025 Tanzania itakuwa imebadilika kiuchumi kutoka nchi inayoendelea hadi kuwa nchi yenye uchumi wa kati.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZIRI MKUU: SGR, JNHPP MIRADI YAKUTUFIKISHA NCHI YA UCHUMI WA KATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Tanzania imedhamiria kukuza uchumi wake na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda. Ili lengo hilo liweze kufanikiwa ni lazima iwe na miundombinu bora na imara.
Katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZWFW_eBg-yY/Uz2Tzn2PeQI/AAAAAAAFYOI/NVp21MZ8XJ8/s72-c/unnamed+(33).jpg)
APRM, MKAKATI MARIDHAWA KUDUMISHA UTAWALA BORA NA UCHUMI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZWFW_eBg-yY/Uz2Tzn2PeQI/AAAAAAAFYOI/NVp21MZ8XJ8/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ojof0Y5Jvas/Uz2T0ArfwwI/AAAAAAAFYOM/xdwO7kdGSHw/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Michuzisemina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-U7TPv8C8Weo/VSot_5lRhkI/AAAAAAAArac/e65iFV1pgcI/s72-c/MMGL0318.jpg)
IMETOSHA yaendeleza mkakati wake kimataifa kusafisha jina la nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-U7TPv8C8Weo/VSot_5lRhkI/AAAAAAAArac/e65iFV1pgcI/s1600/MMGL0318.jpg)
Katika mpambano huo wa kimataifa uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mkangara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck Sadick na...
9 years ago
Habarileo11 Nov
Mataifa 3 uchumi wa kati kuzuru NHIF
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) leo unatarajia kupokea wageni kutoka nchi za Korea Kusini, Ghana na Ethiopia ambao wote kwa pamoja wanakuja kujifunza namna ya uendeshaji wa mifuko ya afya ya jamii.
10 years ago
Mwananchi22 Apr
‘Uchumi wa kati’ hautajengwa kwa porojo