WAZIRI MKUU: SGR, JNHPP MIRADI YAKUTUFIKISHA NCHI YA UCHUMI WA KATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
UTEKELEZAJI wa miradi ya miundombinu mbalimbali ikiwemo nishati, reli, maji, barabara, na viwanja vya ndege ni miongoni mwa viashiria muhimu katika ukuaji wa uchumi wa Taifa lolote duniani.
Tanzania imedhamiria kukuza uchumi wake na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda. Ili lengo hilo liweze kufanikiwa ni lazima iwe na miundombinu bora na imara.
Katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s72-c/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
WAZIRI MKUU AKAGUA MRADI WA KUZALISHA UMEME WA JNHPP
![](https://1.bp.blogspot.com/-a_xox5K29aY/Xr2NibSO-II/AAAAAAALqRo/VsFSTltjQL4rpmMn4WUjCtjYo8muj58fQCLcBGAsYHQ/s640/PMO_9429AAA-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9326AAA-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PMO_9442AAA-1024x683.jpg)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nishati Dkt. Medad Kalemani, wakati alipokagua hatua za utekelezaji wa mradi wa kufua umeme wa Julius Nyerere (JNHPP)...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700.
“Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi Singida kimetoa ajira 6,300 wakati mradi wa umeme...
10 years ago
StarTV17 Jan
Tanzania kuingia nchi zenye uchumi wa kati.
Na Grace Semfuko,
Dar Es Salaam,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta Mohammed Gharib Bilal amesema Tanzania inakusudia kuingia katika jumuiya ya nchi zenye uchumi wa kati huku ikiwa na vijana wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira barani Afrika.
Alisema ili kufikia hayo, mashirika binafsi yanatakiwa kuanza kutoa elimu kwa vijana ambao ndio taifa la sasa, kujiandaa katika kukabiliana na changamoto hiyo.
Katika uzinduzi wa mkakati wa utekelezaji wa...
10 years ago
Habarileo12 Sep
JK: Tanzania itakuwa nchi yenye uchumi wa kati 2025
RAIS Jakaya Kikwete amesema Serikali imejipanga katika kuhakikisha hadi ifikapo mwaka 2025 Tanzania itakuwa imebadilika kiuchumi kutoka nchi inayoendelea hadi kuwa nchi yenye uchumi wa kati.
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Mkakati wa Megawati 10,000 kuiingiza nchi uchumi wa kati
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Tanzania ni mhimili mkuu wa uchumi Afrika Mashariki na Kati
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete akutana na Waziri Mkuu wa Australia na Gavana Mkuu wa nchi hiyo
![IMGL0560](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0560.jpg)
![IMGL0623 (2)](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0623-2.jpg)
![IMGL0758](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMGL0758.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s72-c/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MHE MIZENGO PINDA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA ELIMU WILAYANI MLELE
![](http://2.bp.blogspot.com/-lqTxCyFtXvU/VajptaiFIOI/AAAAAAAHqOw/_01YYUMfxmc/s640/unnamed%2B%252810%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4qEWaERQEac/VajptX7MJTI/AAAAAAAHqOs/tlRZXdFnipI/s640/unnamed%2B%252811%2529.jpg)