WAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
*Asema umetoa ajira zaidi ya 18,000; utapunguza muda wa safari * Asema nguzo za umeme 154 kati ya 160 zimeshasimikwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700.
“Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi Singida kimetoa ajira 6,300 wakati mradi wa umeme...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO-zEXRFBOk/Xl37y6QkoAI/AAAAAAALggM/kQyIyOyQcmw7b15i1lO9ooMiNSIffZMWQCLcBGAsYHQ/s72-c/98c0df68-a72c-4fb9-b3ae-91edb92db395.jpg)
MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...
5 years ago
MichuziBREAKING NEWSSSS: BENKI YA STANDARD CHATERED YAIKOPESHA TANZANIA SH. TRILIONI 3.3 KUJENGA RELI YA KISASA-SGR
Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chattered (Tanzania) Bw. Sanjay Rughani, wakitia saini makubaliano ya mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46, sawa na shilingi za Tanzania Tril. 3.3, zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa (SGR), kipande cha Morogogoro hadi Makutupora, mkoani Singida, hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam 13 Februari, 2020.
Waziri wa Fedha na...
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA JENGO LA TUME YA UCHAGUZI (NEC), LILILOPO NDEJENGWA, JIJINI DODOMA.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasili kwenye Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), Njedengwa, jijini Dodoma, wakati alipoenda kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, linalojengwa na Kikosi cha SUMA JKT, May 5, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akifafanuliwa jambo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, wakati alipokagua ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Tume ya Uchaguzi (NEC), lililopo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s72-c/1-37.jpg)
KAMATI YA MIUNDOMBINU YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA RELI YA KISASA YASISITIZA VIWANGO VYA UBORA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6NXvX9D5r-Q/XmzCXVbVIqI/AAAAAAALjYc/QUtjn1uzJ5YDBxN4lXaEDwclYV-eupXSACLcBGAsYHQ/s640/1-37.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Selemani Kakoso, akijaribu ubora wa mataruma yanayotengenezwa katika Kiwanda cha Mataruma Kilosa, wakati kamati hiyo ilipokagua maendeleo ya ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR,Mkoani Morogoro.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/2-37.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
WAZIRI WA UJENZI AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA TENGERU-SAKINA (KM 14.1) ITAKAYOJENGWA KWA NJIA NNE MKOANI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YwG-dFCTOGg/VbvAZyF6H-I/AAAAAAAHs98/30gZE5BItd8/s640/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GGBEZsSU4mg/VbvAcIoC7wI/AAAAAAAHs-E/3ymrEpM4VAg/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxZTZ8ThfrcIJ5wY5mLjHmvb9N9WlUcRKj*bBRo-T6XF*Ltk28xpJztiPeAbO9oRzeHKOkom4ZIg5puviqYIHQuh/MAGU1.jpg?width=650)
MAGUFULI AKAGUA MIZANI YA KISASA YA VIGWAZA MKOANI PWANI PAMOJA NA UJENZI WA BARABARA YA KIBAMBA-KWEMBE-MAKONDEKO
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA UCHUKUZI ATEMBELEA ENEO INAPOJENGWA RELI MPYA YA KISASA YA STANDARD GAUGE
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
WAZIRI MKUU: SGR, JNHPP MIRADI YAKUTUFIKISHA NCHI YA UCHUMI WA KATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3HmFPjKlmrM/XsUq6l-y6DI/AAAAAAALq90/nfE1s9i-pAUI4MznsDGRbDxtutZBCCvTQCLcBGAsYHQ/s400/maxresdefault.jpg)
Tanzania imedhamiria kukuza uchumi wake na kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 kwa kupitia sekta ya viwanda. Ili lengo hilo liweze kufanikiwa ni lazima iwe na miundombinu bora na imara.
Katika kuhakikisha jambo hilo linafanikiwa, Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli...