BREAKING NEWSSSS: BENKI YA STANDARD CHATERED YAIKOPESHA TANZANIA SH. TRILIONI 3.3 KUJENGA RELI YA KISASA-SGR
Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chattered (Tanzania) Bw. Sanjay Rughani, wakitia saini makubaliano ya mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46, sawa na shilingi za Tanzania Tril. 3.3, zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa (SGR), kipande cha Morogogoro hadi Makutupora, mkoani Singida, hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam 13 Februari, 2020.
Waziri wa Fedha na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700.
“Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi Singida kimetoa ajira 6,300 wakati mradi wa umeme...
5 years ago
MichuziBREAKING NEWS: Standard Chartered Bank arranges a US$ 1.46 billion financing to fund the SGR Project
The Minister of Finance and Planning, Hon. Dr. Philip Mpango and Mr. Sanjay Rughani, Chief Executive Officer, Standard Chartered Tanzania, signing the deal
The Minister of Finance and Planning, Hon. Dr. Philip Mpango and Mr. Sanjay Rughani, Chief Executive Officer, Standard Chartered Tanzania, signing the deal
Dar es Salaam, Tanzania - 13 February 2020: The Government of Tanzania Ministry of Finance, today signed a facility agreement with Standard Chartered Tanzania for a US$ 1.46 billion...
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO-zEXRFBOk/Xl37y6QkoAI/AAAAAAALggM/kQyIyOyQcmw7b15i1lO9ooMiNSIffZMWQCLcBGAsYHQ/s72-c/98c0df68-a72c-4fb9-b3ae-91edb92db395.jpg)
MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA UCHUKUZI ATEMBELEA ENEO INAPOJENGWA RELI MPYA YA KISASA YA STANDARD GAUGE
5 years ago
African Review17 Feb
Standard Chartered funds US$1.46bn for Tanzania's SGR Project
9 years ago
Michuzi26 Aug
BENKI YA DUNIA YAIKOPESHA TANZANIA BIL 422.8
![Mwakilishi Benki Dunia, Country Director (katikati) akisaini mkopo wa fedha kwa wizara ya Afra. Kulia ni Katibu mkuu wa Wizara ya Afya, Dk. Servacius Likwelile](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/GnbibxpZIlba728OUaI_cq7NaWo_Zxl2_pLV09DHHQpwdVlH4hGkIugr68xiKYYWwO0zDLSXzHeRCGFOiDp13PiYDgpR99qE7hkacSAvwECEBoocELgA6GQnqLCPysNR=s0-d-e1-ft#http://mwanahalisionline.com/wp-content/uploads/2015/08/Fedha--620x308.jpg)
TANZANIA imesaini mkopo wa Sh. 422.8 Bil kutoka Benki Kuu ya Dunia ili kuimarisha huduma ya afya nchini. Akisaini mkopo huo Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dk. Servacius Likwelile amesema, mkopo huo unalenga kuimarisha huduma za awali za afya nchi inayolenga wajawazito, vichanga na watoto.
Likwelile amesema, huduma hiyo itahusisha zaidi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0Nq-KEbsVAQ/Xlv1T7EeB4I/AAAAAAABmf8/VgCF-VluQg0C-nPMkB_tTAN6fp1FX8I5QCLcBGAsYHQ/s72-c/EP1m1mgW4AIUb6n.jpg)
TRILIONI 2.957 ZATUMIKA UJENZI SGR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Nq-KEbsVAQ/Xlv1T7EeB4I/AAAAAAABmf8/VgCF-VluQg0C-nPMkB_tTAN6fp1FX8I5QCLcBGAsYHQ/s640/EP1m1mgW4AIUb6n.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia asilimia asilimia 75 wakati...
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: BENKI YA CRDB KUJENGA TAWI LA KISASA KATIKA KIWANDA CHA DANGOTE, MTWARA