TRILIONI 2.957 ZATUMIKA UJENZI SGR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Nq-KEbsVAQ/Xlv1T7EeB4I/AAAAAAABmf8/VgCF-VluQg0C-nPMkB_tTAN6fp1FX8I5QCLcBGAsYHQ/s72-c/EP1m1mgW4AIUb6n.jpg)
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia asilimia asilimia 75 wakati...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziUjenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957 Zatumika hadi Sasa
Na Frank Mvungi- MAELEZO
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia...
5 years ago
MichuziBREAKING NEWSSSS: BENKI YA STANDARD CHATERED YAIKOPESHA TANZANIA SH. TRILIONI 3.3 KUJENGA RELI YA KISASA-SGR
Waziri wa Fedha na Mipango,Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) (kushoto), na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chattered (Tanzania) Bw. Sanjay Rughani, wakitia saini makubaliano ya mkopo nafuu wa dola za Marekani bilioni 1.46, sawa na shilingi za Tanzania Tril. 3.3, zilizotolewa na Benki hiyo kwa ajili ya ujenzi wa Reli kwa Kiwango cha Kimataifa (SGR), kipande cha Morogogoro hadi Makutupora, mkoani Singida, hafla iliyofanyika Jijini Dar es Salaam 13 Februari, 2020.
Waziri wa Fedha na...
5 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AKAGUA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) na kusema kuwa mradi huo umesaidia kupungua tatizo la ajira kwa kuajiri wafanyakazi 18,700.
“Kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huu, kumesaidia kupunguza ukosefu wa ajira kwa kutoa ajira 7,400 kwa kipande cha Dar hadi Morogoro. Kipande cha Morogoro hadi Singida kimetoa ajira 6,300 wakati mradi wa umeme...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO-zEXRFBOk/Xl37y6QkoAI/AAAAAAALggM/kQyIyOyQcmw7b15i1lO9ooMiNSIffZMWQCLcBGAsYHQ/s72-c/98c0df68-a72c-4fb9-b3ae-91edb92db395.jpg)
MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Ujenzi wa barabara kugharimu trilioni 1/-
JUMLA ya Sh trilioni moja zinatarajiwa kutumika katika miradi minne tofauti ya kujenga barabara zenye jumla ya urefu wa kilomita 548 kwa kiwango cha lami katika mikoa ya Rukwa, Katavi na Mbeya.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Serikali yatenga trilioni 14/- ujenzi wa reli ya kisasa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetenga Sh trilioni 14 kwa ajili ya kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha kisasa cha ‘Standard Gauge’, ambao utakuwa mradi mkubwa kutekelezwa na Serikali.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, alisema reli hiyo mpya itakuwa tofauti na nyingine na yenye uwezo wa kimataifa kutokana na kuchukua mabehewa ya ghorofa, ambapo itaanzia Dar es Salaam hadi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FbK6dD1sqso/XkzucBfm4WI/AAAAAAALeOU/wlaRi9uWXrglalIxYcfywoezk2BGlDjygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
PICHA MBALI MBALI ZIKIONESHA MAENDELEO YA UJENZI WA SGR UKIENDELEA KWA KASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbK6dD1sqso/XkzucBfm4WI/AAAAAAALeOU/wlaRi9uWXrglalIxYcfywoezk2BGlDjygCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PI2lqkfDhwM/XkzucBDnXqI/AAAAAAALeOY/fo-y7ZiX0yAgfjpd-t-VFM4OXL0-Gk-CQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7DL2V32sIg/XkzucaAN8-I/AAAAAAALeOc/C4Ug37_soloSZ0o0LrKmTVg2_Q2IPWgcACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qAjUq-jXTVM/XkzudTfsTUI/AAAAAAALeOo/TCQ-FQdkNEArbC69lfB0BRCMYb5GKDVWACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1vIOvhR-4G4/XkzueEO-d5I/AAAAAAALeOw/eRTTuMK_BGkwIEh2AJ_uIl6EINfgFmhigCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SRS6Pz-jX9s/XkzueZAuCRI/AAAAAAALeO0/CdZ94BH8Po0D-YRkdc1fWnnahr4C6YuwgCLcBGAsYHQ/s640/6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SPkRFP1FK7o/XkzudS2olmI/AAAAAAALeOk/mgZ03XnIYYgScPb2Baz0-SkqWkglgIs2QCLcBGAsYHQ/s640/34.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BQml2poFnJU/XkzudmBeDOI/AAAAAAALeOs/NqqIzS3vI6si3yGO1Dl_Hq_1K8J6UnvrACLcBGAsYHQ/s640/44.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-f4drDAOGiEM/Xkzuc_HGlYI/AAAAAAALeOg/JyAdKAS8R0sNRBBo7GPByKy34ylMMfyiACLcBGAsYHQ/s640/323.jpg)