PICHA MBALI MBALI ZIKIONESHA MAENDELEO YA UJENZI WA SGR UKIENDELEA KWA KASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbK6dD1sqso/XkzucBfm4WI/AAAAAAALeOU/wlaRi9uWXrglalIxYcfywoezk2BGlDjygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_gC9rEVVwY/U90YVPu9XsI/AAAAAAAF8fs/GjzbwxTw-p8/s72-c/unnamed+(7).jpg)
BALOZI SEIF ALI IDD AKABIDHI VIFAA MBALI MBALI VYA UJENZI KATIKA JIMBO LA KITOPE
Wananchi wameendelea kutahadharishwa kuwa macho na tabia ya baadhi ya wanasiasa wenye hulka ya kushawishi jamii kutoshiriki harakati za maendeleo na ustawi wa jamii kwenye maeneo yao kwa sababu tu ya itikadi ya kisiasa.
Tahadhari hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya uwezekaji wa majengo ya Maabara na Maktaba ya Skuli ya Sekondari ya Fujoni iliyomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “ B”.
Balozi Seif ambae pia ni...
Tahadhari hiyo imetolewa na Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seif Ali Iddi wakati akikabidhi vifaa mbali mbali vya uwezekaji wa majengo ya Maabara na Maktaba ya Skuli ya Sekondari ya Fujoni iliyomo ndani ya Jimbo la Kitope Wilaya ya Kaskazini “ B”.
Balozi Seif ambae pia ni...
10 years ago
MichuziMRADI WA UJENZI WA NYUMBA 10,000 ZA MAKAZI YA WATUMISHI WA SERIKALI NA WA UMMA WAANZA KATIKA MAENEO MBALI MBALI NCHINI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--rZks7cQLrY/UzFV-FrTrFI/AAAAAAAFWKw/g014YPiiMNk/s72-c/unnamed+(26).jpg)
balozi seif akutana na Taasisi za uwekezaji vitega uchumi kutoka Kampuni mbali mbali za Kimataifa za ujenzi mjini Dodoma leo
Na Othman Khamis Ame, OMPR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amesema Taasisi na washirika wa Maendeleo bado wana fursa nzuri na pana ya kuendelea kushirikiana na Serikali katika uendelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo na Kiuchumi.
Alisema fursa hiyo kwa kiasi kikubwa itasaidia kuleta ustawi bora wa Wananchi sambamba na kuimarisha nguvu za uendeshaji wa Taasisi na Mashirika hayo katika mipango yao ya uzalishaji. Balozi Seif alisema hayo Ofisini kwake katika...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7HYzGD0HIqs/VAFrLOIAFJI/AAAAAAAGVqE/jMfWvmNV55c/s72-c/5.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-zlO6SXPAKVo/VI1NKLWxn9I/AAAAAAAG3HM/Syxb-DTFSSs/s1600/unnamed%2B%2833%29.jpg?width=650)
TUNZO KWA WANAMICHEZO BORA WA MWAKA MICHEZO MBALI MBALI ZATOLEWA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dr. Finella Mukangara (katikati) Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Abdilah Jihadi Hassan (kulia) wakiwa na Mwandishi wa Habari Salim Said Salim na Mama Fatma Karume wakiwa katika Hafla ya utoaji wa tunzo kwa wanamichezo bora kwa mwaka 2013/2014 katika ukumbi wa  Diamond Jubilee...
10 years ago
MichuziBOA Tanzania yakabidhi zawadi mbali mbali kwa washindi wake leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KByxhx8IscY/XkeiUH_FtHI/AAAAAAALdfc/PEGJiGuQyeU_NxJC6mRpg1Uc1pjEXBteACLcBGAsYHQ/s72-c/4a9a4a11-2bae-4470-9706-8348412a1d15.jpg)
CRDB YADHAMIRIA KUINUA HALI ZA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA MIJINI NA VIJIJINI KWA KUIBUA MIRADI MBALI MBALI
Uongozi wa Benki ya CRDB Nchini umeazimia kuunga mkono Utekelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo inayowagusa moja kwa Moja Wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika kuona ustawi wa Jamii Mjini na Vijijini unaimarika kila siku.
Akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Vuga Mjini Zanzibar Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya CRDB Bwana Abdulmajid Mussa Nsekela amesema Benki hiyo iliyopata Tuzo ya Mfuko wa Kimataifa wa Mazingira itadhihirisha Utekelezaji...
Akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Vuga Mjini Zanzibar Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya CRDB Bwana Abdulmajid Mussa Nsekela amesema Benki hiyo iliyopata Tuzo ya Mfuko wa Kimataifa wa Mazingira itadhihirisha Utekelezaji...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ce8b39N3V5E/VNTe_He-w-I/AAAAAAAHCP4/6Kxvq2YDDo4/s72-c/unnameds1.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA KWA BAR MBALI MBALI NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ce8b39N3V5E/VNTe_He-w-I/AAAAAAAHCP4/6Kxvq2YDDo4/s1600/unnameds1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VxjBrg-uuio/VNTe_DeU_QI/AAAAAAAHCP8/nj4gvbEU_uE/s1600/unnameds2.jpg)
10 years ago
VijimamboHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA LAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA SHUGHULI MBALI MBALI.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania