Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA LAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA SHUGHULI MBALI MBALI.

 Meza kuu katika maadhimisho ya Ukimwi duniani ikiongozwa na Mgeni rasmi ambaye ni Askofu wa Kanisa la Moravian Jimbo la Kusini Magharibi, Alinikisa Cheyo, yaliyoadhimishwa na Halmashauri ya Jiji la Mbeya katika viwanja vya Shule ya Msingi Mbata. Naibu Meya na Mwenyekiti wa kamati ya kudhibiti Ukimwi Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Chieforder Fungo akimuongoza Mgeni rasmi Askofu Alinikisa Cheyo kutembelea mabanda katika maadhimisho ya Ukimwi duniani yaliyofanyika katika viwanja vya shule ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALI MBALI ZA MJI WA MOSHI UKIWA KWENYE MAANDALIZI YA KUWA JIJI

Jengo la ofisi ya Mkuu a mkoa wa Kilimanjaro linavyoonekana kwa juu.

Katikati ya mji wa Moshi

Jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya ya Moshi linavyoonekana kwa juu.

Eneo la kati jirani na ofisi za mkuu wa wilaya ya Moshi.

Ujenzi wa jengo jipya la Ghorofa jirani kabisa na kipta shoto cha Arusha.



Eneo la katikati ya mji wa Moshi.

Jengo zilipo ofisi za mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro .

Eneo la Shanty town linavyoonekana kwa mbali.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya jamii kanda ya kaskazini.

 

10 years ago

Vijimambo

BENKI YA NMB MBEYA YATEMBELEA KITUO CHA YATIMA CHA MALEZI YA HURUMA NA KUTOA MISAADA MBALI MBALI.

Maafisa wa Benki ya NMB Mbeya wakishusha vitu kutoka kwenye gari kwa ajili ya kukabidhi msaada katika kituo cha watoto yatima Malezi ya Huruma Simike.Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Mbalizi Road, Mzee Mwakibete, akikabidhi msaada kwa wanafunzi wa kituo cha watoto yatima cha Malezi ya Huruma Simike Mbeya.Afisa biashara wa NMB Tawi la Mbalizi Road, Alex Massawe, akikabidhi msaada kwa wanafunzi wa kituo cha watoto yatima cha Malezi ya Huruma Simike Mbeya.Mmoja kati ya Watumishi wa NMB tawi la...

 

10 years ago

GPL

TUNZO KWA WANAMICHEZO BORA WA MWAKA MICHEZO MBALI MBALI ZATOLEWA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dr. Finella Mukangara (katikati) Waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Zanzibar Abdilah Jihadi Hassan (kulia) wakiwa na Mwandishi wa Habari Salim Said Salim na Mama Fatma Karume wakiwa katika Hafla ya utoaji wa tunzo kwa wanamichezo bora kwa mwaka 2013/2014 katika ukumbi wa  Diamond Jubilee...

 

10 years ago

Michuzi

BOA Tanzania yakabidhi zawadi mbali mbali kwa washindi wake leo

Meneja Mwanandamizi wa Masoko na Mawasiliano wa BOA Tanzania, Bw. Solomon Haule  akizungymza na waandishi wa habari (hawapi pichani) kuhusu kampeni ya benki ya ufunguzi wa akaunti mpya,ambayo inawawezesha wateja wake watano kujinyakulia zawadi mbali mbali.Mteja wa Benki ya BOA aliejishindia zawadi ya simu aina ya Samsung Galaxy Grand Duos,Ibrahim Agwanda akiionyesha simu hiyo kwa wanahabari (hawapo pichani) mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Mwandamizi wa Fedha wa BOA, Bw. Cleopa...

 

5 years ago

Michuzi

PICHA MBALI MBALI ZIKIONESHA MAENDELEO YA UJENZI WA SGR UKIENDELEA KWA KASI




Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.






 

5 years ago

Michuzi

CRDB YADHAMIRIA KUINUA HALI ZA KIUCHUMI KWA WANANCHI WA MIJINI NA VIJIJINI KWA KUIBUA MIRADI MBALI MBALI

Uongozi wa Benki ya CRDB Nchini umeazimia kuunga mkono Utekelezaji wa miradi mbali mbali ya Maendeleo inayowagusa moja kwa Moja Wananchi kwa kushirikiana na Serikali katika kuona ustawi wa Jamii Mjini na Vijijini unaimarika kila siku.

Akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Vuga Mjini Zanzibar Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo ya CRDB Bwana Abdulmajid Mussa Nsekela  amesema Benki hiyo iliyopata Tuzo ya Mfuko wa Kimataifa wa Mazingira itadhihirisha Utekelezaji...

 

10 years ago

Michuzi

SAFARI LAGER YAZINDUA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA KWA BAR MBALI MBALI NCHINI

Meneja wa bia ya Safari Lager, Edidh Bebwa(kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa masindano ya Safari Nyama Choma kwa mwaka 2015 uliofanyika Dar es Salaam leo.Kushoto ni Jaji Mkuu wa mashindano hayo, Manase Mwasha. Jaji Mkuu wa mashindano Safari Nyama Choma, Manase Mwasha(kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa masindano ya Safari Nyama Choma kwa mwaka 2015 uliofanyika Dar es Salaam leo.Kulia ni Meneja wa bia ya Safari Lager, ...

 

11 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA SHS.BILIONI 121 KWA AJILI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBALI MBALI

Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni limepitisha bajeti ya sh.bilioni 121 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ya halmashauri kwa mwaka wa fedha wa 2014/2015.

Akitoa taarifa hiyo Mstahiki Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mheshimiwa Yusuph Mwenda alisema fedha hizo zimetokana na makusanyo ya vyanzo vya mapato , pesa kutoka ruzuku serikali kuu,Tamisemi,pesa za makusanyo ya ndani ya Halmashauri .Kwa sasa Halmashauri ina uwezo wa kujiendesha ...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI ya Msama Promotions YATOA MSAADA WA VITU MBALI MBALI KWA VITUO 10 VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR


KAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu katika jamii.

Akikabidhi misaada hiyo katika ofisi zake zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Msama alisema misaada hiyo ni sehemu ya fedha za mauzo ya DVD za Tamasha la Pasaka la mwaka huu.
Msama alisema kupitia mauzo ya DVD za Tamasha hilo ambalo lilifanyika April 6 katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani