BENKI YA NMB MBEYA YATEMBELEA KITUO CHA YATIMA CHA MALEZI YA HURUMA NA KUTOA MISAADA MBALI MBALI.
Maafisa wa Benki ya NMB Mbeya wakishusha vitu kutoka kwenye gari kwa ajili ya kukabidhi msaada katika kituo cha watoto yatima Malezi ya Huruma Simike.
Meneja wa Benki ya NMB Tawi la Mbalizi Road, Mzee Mwakibete, akikabidhi msaada kwa wanafunzi wa kituo cha watoto yatima cha Malezi ya Huruma Simike Mbeya.
Afisa biashara wa NMB Tawi la Mbalizi Road, Alex Massawe, akikabidhi msaada kwa wanafunzi wa kituo cha watoto yatima cha Malezi ya Huruma Simike Mbeya.
Mmoja kati ya Watumishi wa NMB tawi la...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga atoa msaada wa bidhaa mbali mbali kwa kituo cha kulelewa Watoto Yatima cha Casa Della Diaia,Tanga
10 years ago
CloudsFM29 Dec
JOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME
Miss Tanzania namba mbili 2006, mwanamitindo na mcheza filamu, Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne, alipotembelea kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Zawadi alizotoa ni mchele, unga wa sembe, sabuni na ndala zenye nembo za Kidoti.
Jokate Mwegello, akicheza na mmoja wa watoto wanaolelewa katika Kituo cha Yatima cha Extrem cha Tandale kwa Bi Mwamvua Jumanne.
10 years ago
Michuzi
Wana Kariakoo watoa misaada katika kituo cha Yatima cha Al Madina Tandale leo



9 years ago
Dewji Blog26 Dec
Kampuni ya Tigo yatoa misaada kituo cha kulelea watoto yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa, Ali Maswanya akikabidhi misaada mbalimbali Mwenyekiti wa kamati ya shule ya kulelea watoto yatima cha Mugeza Mseto Manispaa ya Bukoba Bi. Evelyne Mwijage juzi. Kampuni ya Tigo ilitoa misaada kwenye kituo hicho.
10 years ago
GPLJOKATE ATOA MISAADA KITUO CHA KULEA YATIMA CHA EXTREME KILICHOPO TANDALE KWA BI MTUMWA, DAR ES SALAAM
10 years ago
MichuziJokate atoa misaada kituo cha kulea Yatima cha Extreme kilichopo Tandale kwa Bi Mtumwa, Dar es salaam
10 years ago
MichuziKALAMU EDUCATION FOUNDATION YASHEHEREKEA MWAKA MPYA WA KIISLAM-1437H KIJIJINI RUFIJI NA KUKABIDHA MISAADA MBALI MBALI.
10 years ago
Michuzi
KAMPUNI ya Msama Promotions YATOA MSAADA WA VITU MBALI MBALI KWA VITUO 10 VYA WATOTO YATIMA JIJINI DAR
KAMPUNI ya Msama Promotions chini ya Mkurugenzi wake Alex Msama, jana ilikabidhi msaada wa vitu mbalimbali kwa vituo 10 vya kulea yatima ikiwa ni mwendelezo wa kusaidia makundi maalumu katika jamii.
Akikabidhi misaada hiyo katika ofisi zake zilizopo Kinondoni, jijini Dar es Salaam, Msama alisema misaada hiyo ni sehemu ya fedha za mauzo ya DVD za Tamasha la Pasaka la mwaka huu.
Msama alisema kupitia mauzo ya DVD za Tamasha hilo ambalo lilifanyika April 6 katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es...
10 years ago
VijimamboMAJAJI WA BONGO STAR SEARCH WATEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA NA KUTOA MSAADA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10