MAJAJI WA BONGO STAR SEARCH WATEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA NA KUTOA MSAADA
Majaji wa Bongo Star Search kuelekea msimu wa nane wa BSS2015 wamejumuika na watoto Yatima wa kituo cha Chakuwama kilichopo eneo la Mwenge jijini Dar es Salaam na kula Iftaar na watoto hao kipindi hiki cha mfungo wa Ramadn na kutoa misaada mbali mbali.Kituo hicho ambacho kina jumla ya watoto yatima 100 kuanzia wachanga mpaka miaka 16 na wahudumu 10.
Huduma ya kuchukua Iftaar tayari kwa kufuturu ikiendelea.
Jaji kiongozi wa mashindano ya kusaka vipaji vya muziki, maarufu BSS, Rita Poulsen...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI ORPHANAGE CENTER CHA POKEA ZAWADI NA MSAADA WA MAANDALIZI YA KRISMASI KUTOKA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-R3zFIpey3ps/XrbS-zNaMyI/AAAAAAALpmw/-GZeZ0lszT83SIKQeMybc66coSqaqnh6wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-09%2Bat%2B1.47.27%2BPM.jpeg)
TAASISI YA TUMAINI LA MTOTO YATOA ELIMU, MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHUKUWAMA
Akitoa elimu kwa watoto wa kituo hicho Mkurugenzi Taasisi ya Tumaini la Mtoto, Maziku Kuwandu amesema kuwa Watoto waliopo kwenye vituo vyao vya kulelewa wamekuwa hawapati elimu ya kujikinga na Virusi vya Corona (Covid 19) ndio maana wachukua fursa hiyo kuwapa elimu watoto hao.
"Taasisi ya Tumaini la Mtoto kupitia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zSHAgTatLuI/XooC40NRpxI/AAAAAAALmHY/zNslRSz1th86nvpZM_IQGReW9_PbtlnygCLcBGAsYHQ/s72-c/35239afa-4ae5-4dcd-be68-f2560a84c510.jpg)
Simba Jamii Tanzania latoa msaada tanki la maji na kifaa cha kuzalisha umeme kituo cha kulelea watoto Yatima mkoani Morogoro
Akikabidhi misaada hiyo mwakilishi wa Simba Jamii mkoani Morogoro Bwana Rashid "Wizzy" Mbegu alimfahamisha mlezi na msimamizi wa kituo hicho Bi Raya kuwa Simba Jamii itawakabidhi watoto wote wa kituo hicho pea 50 za viatu ilivyovipokea...
10 years ago
GPLGLOBAL YATOA MSAADA KWENYE KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHAKWAMA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s72-c/20140727_153713.jpg)
Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kituo cha watoto yatima CHAKUWAMA-SINZA jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s1600/20140727_153713.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUCyfhwYNGI/U9YkoyGfVMI/AAAAAAAF7U4/m-xuh4qvWvs/s1600/20140727_153727.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6R9Tzuxdlmo/U9YksWTOiqI/AAAAAAAF7VI/tziR8XuvoCU/s1600/20140727_153757.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s72-c/20140727_153713.jpg)
kundi la Mkwawa Moja Alumni Association (MMAA) watoa msaada kwa watoto yatima wa kituo cha CHAKUWAMA,Sinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-N_bv-Zsv8R4/U9Ykqy0CfnI/AAAAAAAF7VA/20P3-00Q2_g/s1600/20140727_153713.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUCyfhwYNGI/U9YkoyGfVMI/AAAAAAAF7U4/m-xuh4qvWvs/s1600/20140727_153727.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6R9Tzuxdlmo/U9YksWTOiqI/AAAAAAAF7VI/tziR8XuvoCU/s1600/20140727_153757.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bJpdqsysa9Q/Xsta_d5GBJI/AAAAAAALrc4/ZmqWZK3oIZornlKss_dwsxJYBiLCqookwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B.jpg)
QNET YATOA MSAADA WA CHAKULA NA VITU VINGINE KWENYE KITUO CHA KULELEA YATIMA CHA MAZIZINI
· NI SEHEMU YA MPANGO WA KUSAIDIA JAMII KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI
Tarehe 24, Mei 2020, Zanzibar QNET, kampuni ya mauzo ya moja kwa moja inayoongoza yenye asili ya Asia imetoa msaada wa magunia ya vyakula, galoni za mafuta ya kupikia, vifaa vya usafi, vinywaji baridi na vitakasa mikono (sanitizers) kwenye nyumba ya kulelea yatima ya Mazizini Zanzibar. Hizi ni jitihada za mwezi mtukufu wa ramadhani zenye lengo la kuboresha maisha ya walio wengi na inaendana na falsafa ya kampuni ya...
9 years ago
MichuziGEPF WASHEREHEKEA MWAKA MPYA KWA KUTOA MSAADA WA KITUO CHA WATOTO YATIMA KIJIJI CHA FURAHA KILICHOPO MBWENI JIJINI DAR
10 years ago
MichuziUJAMAA INTELLECTUALS NETWORK WATOA MSAADA KATIKA KITUO CHA KULELEA YATIMA CHA MAUNGA CENTRE JIJINI DAR ES SALAAM
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA