Ujenzi wa SGR Waendelea kwa Kasi, Trilioni 2.957 Zatumika hadi Sasa
Na Frank Mvungi- MAELEZO
Serikali imetumia kiasi cha Shilingi Trilioni 2.957 kutekeleza mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) huku kasi ya utekelezaji ikiongezeka.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0Nq-KEbsVAQ/Xlv1T7EeB4I/AAAAAAABmf8/VgCF-VluQg0C-nPMkB_tTAN6fp1FX8I5QCLcBGAsYHQ/s72-c/EP1m1mgW4AIUb6n.jpg)
TRILIONI 2.957 ZATUMIKA UJENZI SGR
![](https://1.bp.blogspot.com/-0Nq-KEbsVAQ/Xlv1T7EeB4I/AAAAAAABmf8/VgCF-VluQg0C-nPMkB_tTAN6fp1FX8I5QCLcBGAsYHQ/s640/EP1m1mgW4AIUb6n.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dodoma , Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa utekelezaji wa mradi huo unaendelea kama ulivyopangwa.
“Mradi wa SGR kwa kipande cha Dar es Salaam na Morogoro umefikia asilimia asilimia 75 wakati...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FbK6dD1sqso/XkzucBfm4WI/AAAAAAALeOU/wlaRi9uWXrglalIxYcfywoezk2BGlDjygCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
PICHA MBALI MBALI ZIKIONESHA MAENDELEO YA UJENZI WA SGR UKIENDELEA KWA KASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-FbK6dD1sqso/XkzucBfm4WI/AAAAAAALeOU/wlaRi9uWXrglalIxYcfywoezk2BGlDjygCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-PI2lqkfDhwM/XkzucBDnXqI/AAAAAAALeOY/fo-y7ZiX0yAgfjpd-t-VFM4OXL0-Gk-CQCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-k7DL2V32sIg/XkzucaAN8-I/AAAAAAALeOc/C4Ug37_soloSZ0o0LrKmTVg2_Q2IPWgcACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
Picha tofauti zikionesha maendeleo ya ujenzi wa SGR stesheni tofauti kwa kipande cha Daresalaam-Morogoro na kuonesha kukamilika kwa utandikaji wa nguzo na nyaya za umeme kwa ajili ya uendeshaji wa reli ya kisasa na treni ya umeme.
![](https://1.bp.blogspot.com/-qAjUq-jXTVM/XkzudTfsTUI/AAAAAAALeOo/TCQ-FQdkNEArbC69lfB0BRCMYb5GKDVWACLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-1vIOvhR-4G4/XkzueEO-d5I/AAAAAAALeOw/eRTTuMK_BGkwIEh2AJ_uIl6EINfgFmhigCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SRS6Pz-jX9s/XkzueZAuCRI/AAAAAAALeO0/CdZ94BH8Po0D-YRkdc1fWnnahr4C6YuwgCLcBGAsYHQ/s640/6.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-SPkRFP1FK7o/XkzudS2olmI/AAAAAAALeOk/mgZ03XnIYYgScPb2Baz0-SkqWkglgIs2QCLcBGAsYHQ/s640/34.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-BQml2poFnJU/XkzudmBeDOI/AAAAAAALeOs/NqqIzS3vI6si3yGO1Dl_Hq_1K8J6UnvrACLcBGAsYHQ/s640/44.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-f4drDAOGiEM/Xkzuc_HGlYI/AAAAAAALeOg/JyAdKAS8R0sNRBBo7GPByKy34ylMMfyiACLcBGAsYHQ/s640/323.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lcT333p57Ss/VJ7CKg58PdI/AAAAAAAG6DQ/Ixvbsv5dpps/s72-c/1.jpg)
MAANDALIZI YA UJENZI WA NEW KAWE CITY WAENDELEA KWA KASI.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC),Bwa.Nehemia Mchechu aliwahi kuzungumza kwenye moja ya jukwaa la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s72-c/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
UJENZI WA DARAJA LA MTO KILOMBERO WAENDELEA KWA KASI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y1a0jZiWzXs/VZr6dJgnHOI/AAAAAAAHnZ0/QxnZixGPUOM/s640/unnamed%2B%252849%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mXsoyHjKjcQ/VZr6dN2Xu4I/AAAAAAAHnZ4/aELBnBSTLtU/s640/unnamed%2B%252854%2529.jpg)
9 years ago
StarTV16 Nov
Ujenzi waendelea kwa kasi mabondeni Dar es Salaam licha ya athari za mvua
Shughuli za kuendeleza maeneo ya Mabondeni jijini Dar es Salaam zinachukua kasi kubwa licha ya Serikali kutoa tahadhari na kuwataka wakazi wa maeneo hayo kuhama.
Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na uelewa mdogo wa jamii juu ya madhara yanayotokea pindi mvua nyingi zinaponyesha na kusababisha maafa kwa jamii iishiyo maeneo hayo.
Katika hali ya kushangaza maeneo haya ya mabondeni ambayo Serikali imekuwa ikizuia watu kuishi, kutokana na kuwa hatarishi kwa maisha, wakati mvua za masika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HO-zEXRFBOk/Xl37y6QkoAI/AAAAAAALggM/kQyIyOyQcmw7b15i1lO9ooMiNSIffZMWQCLcBGAsYHQ/s72-c/98c0df68-a72c-4fb9-b3ae-91edb92db395.jpg)
MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU WA WIZARA MBALIMBALI WASHANGAZWA KASI YA MRADI WA UJENZI WA RELI YA KISASA (SGR)
Na Avila Kakingo-Michuzi Blog
MAKATIBU wakuu na Manaibu wa Wizara mbalimbali katika serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Pombe Magufuli wameshangazwa na maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa reli ya kisasa ya Umeme (SGR).
Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu Mkuu wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa Mradi wa reli ya Kisasa kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma, amesema kuwa kwakuwa mradi huu unazungumzwa katika vikao vyao ndio mana leo...
10 years ago
GPLUJENZI STENDI YA MABASI YAENDAYO KASI WAENDELEA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-aTaFecdvwFo/XrY8cRyXQ9I/AAAAAAALphk/TlJusRIOz-QdXkkEQvgMxlFhXR_bhabUwCLcBGAsYHQ/s72-c/3de15645-5431-4ae8-a751-75738d17f5ee.jpg)
WANANCHI DODOMA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUPATA FIDIA KUPISHA UJENZI WA SGR
Wananchi jijini Dodoma wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kupata fidia baada ya maeneo yao kuwekwa katika orodha ya maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipande cha Morogoro – Dodoma – Singida katika Kata za Ihumwa, Mkonze na Kikuyu Kusini mkoani Dodoma, hivi karibuni Mei 2020.
Zoezi hilo linahusisha fidia za nyumba na viwanja, jumla ya wananchi 2,604 wanatarajiwa kulipwa fidia yenye thamani ya zaidi ya Shilingi...