IMETOSHA yaendeleza mkakati wake kimataifa kusafisha jina la nchi
![](http://1.bp.blogspot.com/-U7TPv8C8Weo/VSot_5lRhkI/AAAAAAAArac/e65iFV1pgcI/s72-c/MMGL0318.jpg)
Mkakati wa kutokomeza unyanyapaa na mauaji ya watu wenye ualbino nchini, uitwao IMETOSHA, jana ulianza rasmi kujitokeza kimataifa baada ya kushiriki katika pambano la kimataifa la kirafiki kati ya nyota wa zamani wa Barcelona na Veterani wa Afrika Mashariki.
Katika mpambano huo wa kimataifa uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mkangara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck Sadick na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-HVuLP8ihO80/VPyu_ZvT1jI/AAAAAAAHIug/09OgQGJPsI0/s72-c/unnamed.jpg)
BALOZI WA HARAKATI ZA "IMETOSHA!" HENRY MDIMU APELEKA UJUMBE WAKE UWANJA WA TAIFA
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Mkakati wa Megawati 10,000 kuiingiza nchi uchumi wa kati
11 years ago
GPLOXFAM YAZINDUA MKAKATI WA KUPUNGUZA ATHARI ZA TABIA NCHI KWA WAKULIMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
Ban ki Moon asifia viongozi walioshirikiana naye katika mkakati wa kimataifa kuhusu vuguvugu la kila mwananamke, kile mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-JqcExJ16frM/VQCTJhhpnnI/AAAAAAAHJq0/mMP3IGilYD0/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban ki Moon, amesema kama si utashi wa kisiasa, kujituma, na kujitolea kulikofanywa na viongozi mbalimbali aliowaomba kufanya naye kazi kwa karibu huku wengine wakijitolea wenyewe, uhai wa wanawake na...
9 years ago
Michuzi18 Nov
Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/mSy_i_Od7c6rRnPYuPGRr1GE6ZjoGcYbsRs9qB5V33hIbx3rgz67Yw6eUj8EGKLloY0Brr0n496JvPrC7cE1Ck4rg4_sue8SBn4f2XpMxG_eBQOOAqRHFRg=s0-d-e1-ft#https://www.dudumizi.com/images/dudumizi-website-design-company.jpg)
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Siri ya jina la Janeth kuwa wake wa marais
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Millicom kuanza utekelezaji wa mkakati wake wa uwekezaji kwa kampuni ya simu ya Zantel Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin akijibu maswali ya waandishi (hawapo pichani) katika mkutano huo. Kushoto kwake ni Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi ya Zantel na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Mwenyekiti wa Bodi, Rachel Samren akizungumza na waandishi wa habari. Katikakati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Zantel, Benoit Janin na kulia ni Cynthia Gordon, Mkurugenzi Mtendaji wa Millicom Upande wa Afrika.
Bi Rachel Samren, Mwenyekiti wa Bodi...