Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT

Neno Dudumizi si geni katika masikio ya watu wengi. Hapa kwetu Tanzania, Dudumizi inamaanisha ni ndege, ndege huyu mwenye rangi ya ugoro na nyeusi akiwa na macho mekundu ni adimu sana hasa kwa watu wanaoishi mijini, hii inaweza kutokana na uchache wake au mazoea ya ndege huyu. Pia, kwa upande wa pili, neno Dudumizi ni kampuni bora inayojishughulisha na masuala ya huduma za IT kama kutengeneza website, kutengeneza systems za kompyuta na application za simu.
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!

Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]

The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...

 

11 years ago

Bongo5

Dully Sykes aelezea maana ya wimbo wake ‘Togola’

Dully Sykes ana wimbo mpya uitwayo Togola uliotengenezwa katika studio zake za 4.12. Akiongea na EFM hivi karibuni, Dully alidai kuwa Togola ni salam ya kabila la kizigua. “Togola maana yake kama salamu tu, kizigua hicho,” alisema Dully. Unajua mwanaume unapokuwa mwenyewe huna partner ndani ya gari inabidi uanze kutizamatizama nikasema ‘mtizame’ lakini kutizamatizama unaweza […]

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2

NI wiki nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana katika safu hii ambapo tunaendelea na mada hii ambayo tuliianza wiki iliyopita, songa nayo ujifunze mengi. MSIFIE PALE ANAPOPENDEZA
Hakuna kitu kizuri kama kumwambia mpenzi wako ‘umependeza’ pale anapokuwa amependeza. Kauli hiyo itamfanya ajione thamani yake. Itamfanya ajue kwamba ili uweze kumwambia amependeza, anatakiwa avae mavazi ya aina gani. Asikwambie mtu,...

 

10 years ago

GPL

NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI

NI Jumamosi nyingine mpenzi msomaji wa Love Story tunakutana katika uwanja wetu wa kuzungumza masuala mbalimbali yahusuyo maisha ya uhusiano.Niwashukuru wote ambao mnaendelea kutuma ujumbe mfupi wa maandishi kuonesha mnanufaika na kile ambacho tunakijadili hapa kila Jumamosi. Mada ya leo hapo juu inajieleza. Kwenye maisha ya uhusiano wengi wetu tunafanya makosa kwa wapenzi wetu pasipo kujua kama tunawakosea.Binadamu tulivyoumbwa...

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel aeleza maana ya ‘Above In A Minute’ ambayo husikika kwenye nyimbo za Navy Kenzo

Nahreel

Ukisikiliza baadhi ya nyimbo za kundi la Navy Kenzo ikiwemo ‘Game’ kuna maneno wanapenda kuyasema, “Above In A Minute”, lakini inawezekana hujui ni kwasababu gani wanapenda kuyatumia au yana maana gani kwao.

Nahreel

Mbali na nyimbo, hata post zao za mitandao ya kijamii, Nahreel na aika huwa wanaweka hashtag ya #AboveInAMinute kwenye post zao nyingi.

Mwimbaji wa Navy Kenzo ambaye pia ni producer wa The Industry, Emmanuel Mkono maarufu kama Nahreel amesema kuwa “ABOVE IN A MINUTE” ni jina la...

 

9 years ago

Mwananchi

Siri ya jina la Janeth kuwa wake wa marais

Kila mzazi anapokaribia kupata mtoto, moja ya mambo muhimu ambayo hufikiria juu ya jina la kumpatia baada ya kujifungua na mtoto kuishi duniani. Wazazi wengi huchukua muda kufikiria ni jina gani zuri la kumpa mtoto wao.

 

10 years ago

Michuzi

IMETOSHA yaendeleza mkakati wake kimataifa kusafisha jina la nchi

Mkakati wa kutokomeza unyanyapaa na mauaji ya watu wenye ualbino nchini, uitwao IMETOSHA, jana ulianza rasmi kujitokeza kimataifa baada ya kushiriki katika pambano la kimataifa la kirafiki kati ya nyota wa zamani wa Barcelona na Veterani wa Afrika Mashariki.
Katika mpambano huo wa kimataifa uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na  Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mkangara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Said Meck Sadick na...

 

11 years ago

GPL

JINA LA OKWI LARUDISHWA KWENYE KAMATI YA TFF

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemlalamikia mwanafamilia wa soka mmoja kwa Kamati ya Maadili kutokana na udanganyifu alioufanya katika suala la usajili wa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi. Tayari TFF imepata ufafanuzi kutoka Fifa kwamba Okwi anaweza kuendelea kuichezea Yanga, lakini TFF imeibuka tena na kudai Sabri Mtulla alilidanganya shirikisho hilo kuhusu usajili wa Mganda huyo. Akizungumza...

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste adai hawezi kujuta kujichora tattoo ya jina la mpenzi wake

Rapper Mabeste amesema ataendelea kubaki na tattoo ya jina la mpenzi wake Lisa hata kama wataachana. Akizungumza na kipindi cha XXL, Mabeste alisema hata akiachana na mpenzi wake Lisa ataendelea kubaki na tattoo hiyo kama kumbukumbu kwenye maisha yake. “Hata kama let say mfano tumeachana, nitakuja kuanzisha maisha mengine na mke mwingine, yeye ataendelea kuwepo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani