Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview!
Staa wa muziki wa Hip Hop kutoka Marekani, Tyga ni miongoni ya wasanii wanaofunga mwaka wa 2015 na excluvise interviews na mitandao pamoja na majarida mbalimbali ya burudani… Nimekutana na interview ya rapper huyo na mtandao wa Yahoo na ndani yake amegusia vitu vingi ikiwemo maana ya jina la ‘Tyga’ , umaarufu na mengine kibao. […]
The post Kikubwa usichokijua kutoka kwa Tyga… ‘maana ya jina lake’ na mengine matatu kwenye hii interview! appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi18 Nov
Maana ya jina la Dudumizi na uhalisia wake kwenye IT
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/mSy_i_Od7c6rRnPYuPGRr1GE6ZjoGcYbsRs9qB5V33hIbx3rgz67Yw6eUj8EGKLloY0Brr0n496JvPrC7cE1Ck4rg4_sue8SBn4f2XpMxG_eBQOOAqRHFRg=s0-d-e1-ft#https://www.dudumizi.com/images/dudumizi-website-design-company.jpg)
Watu wengi wanaposikia jina Dudumizi...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Matatu zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo wa muziki wake humo ndani sasa ndio balaa yani. Nimezipata […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya zilizonibamba zaidi leo appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz)
Mitaa ya Nairobi ina kitu kizuri ambacho kama ni mgeni unaweza kujikuta unaishia tu kuziangalia matatu zinavyokatisha ukasahau mpaka ulikuwa unaenda wapi !! Kama wewe ni mpenzi wa graffiti mtu wangu Nairobi ndio mahali pa kwako sasa !! Ukiwa TZ tunaziita ‘Daladala‘, lakini Kenya wenyewe wanaziita ‘Matatu‘.. gari hizo zimegongwa michoro ya kila aina, mdundo […]
The post Hii ndio michoro kwenye Matatu 9 za Wakenya iliyonibamba zaidi leo.. (+Pichaz) appeared first on...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne Ikulu, Dar es salaam. Katika mzungumzo yao wamezungumzia mambo mbalimbali kuhusu mustakabali wa Serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa na kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu Gerson Msigwa alisema yaliyojiri katika Mazungumzo […]
The post Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4… appeared first on...
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine
Wakati inasubiriwa show ya Alikiba Escape One Mikocheni Dar es salaam kwenye boxing day December 26, kuna hii Interview ya Alikiba akihojiwa na Millard Ayo na kuzungumzia sehemu ya mafanikio yake 2015, alichoandikiwa na Ben Pol na mengine. Kabla hujaitazama hii Interview hapa chini, inabidi ujue pia kwenye hii show ya boxing day Escape One, Alikiba atafanya […]
The post Exclusive Interview na Alikiba kabla ya show yake Escape One kesho Dec 26, mafanikio ya 2015, Ben Pol na mengine appeared...
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela!
Staa wa muziki wa R&B kutoka Marekani, Chris Brown anashikilia headlines za burudani na album yake mpya, ROYALTY. Nimekutana na interview aliyofanya Chris siku chache zilizopita na humo ndani amegusia vitu vingi ikiwemo mchango wa station za radio kwenye muziki wake, mtazamo wake wa kuwa na kuitwa superstaa na maisha aliyoishi akiwa jela. Haya ndio […]
The post Matatu ya kujua kutoka kwa Chris Brown >>> Radio na Muziki, kuitwa superstaa + Maisha ya jela! appeared first on...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Full Interview ya Diamond Platnumz: Kwanini hakutokea White party Uganda, video ya Wema Sepetu, scene iliyomuhuzunisha na mengine
Ni Interview ambayo mwimbaji Diamond Platnumz alihojiwa CloudsFM kwenye LeoTENA December 22 2015 ambapo ndani yake alizungumzia kutokutokea kwenye show ya Zari All White Party Uganda, video ya Wema Sepetu iliyosambaa akiimba wimbo wa Diamond na mengine mengi. Ukibonyeza play kwenye hii video hapa chini utasikia yote aliyosema Diamond ikiwemo ya Mama yake alivyoigiza kwenye […]
The post Full Interview ya Diamond Platnumz: Kwanini hakutokea White party Uganda, video ya Wema Sepetu, scene...
10 years ago
Michuzi23 Oct
Uzinduzi wa mazoezi ya pamoja kati ya majeshi ya wanamaji kutoka China na Tanzania yaliyopewa jina la "Surpassing 2014" kwenye kamandi kuu ya wanamaji wa JWTZ, Kigamboni
![](https://2.bp.blogspot.com/-xhVyFjM7yZQ/VEe10pukQoI/AAAAAAADGU8/WGYpQRb0rnU/s1600/DSC_0576.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-4a2i2au8Blw/VEe10lrGoqI/AAAAAAADGUQ/QbnogdXZSWk/s1600/DSC_0706.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uKzqo0TFUhw/VEe12RlFnwI/AAAAAAADGUo/Bd6OAZiSpCk/s1600/l.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/--wYKqXPc7W8/VEe10s2W6GI/AAAAAAADGUM/tBNo9V9UMHo/s1600/DSC_0648.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-jZRtHR2ICjg/VEe12Az10LI/AAAAAAADGUk/8JUtP-6Kj14/s1600/James%2BMwakibplwa.jpg)
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Top 10 ya news kutoka kwenye YouTUBE ya Millard Ayo wiki hii
10. MSANII WA BONGO FLEVA ALIYEITIWA MWIZI KINONDONI DSM. 9. DIWANI WA CHADEMA ALIYEKUBALI KASI YA MAGUFULI 8. KWANINI MR NICE ANAFANYA MUZIKI KWA NYODO 7. MLUGALUGA – MTANZANIA ALIYEWEZA KUIIGILIZIA SAUTI YA RAIS MAGUFULI 6. NAHREEL ‘ISIELEWEKE VIBAYA KUHUSU HIKI NILICHOSEMA KUHUSU DIAMOND‘ 5. WAZIRI MWIGULU NCHEMBA ALIVYOGEUZA GARI AKIELEKEA KAZINI 4: NI KWELI MWIMBAJI KIDUMU […]
The post Top 10 ya news kutoka kwenye YouTUBE ya Millard Ayo wiki hii appeared first on...