Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi wanne Ikulu, Dar es salaam. Katika mzungumzo yao wamezungumzia mambo mbalimbali kuhusu mustakabali wa Serikali ya awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa na kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu Gerson Msigwa alisema yaliyojiri katika Mazungumzo […]
The post Matatu kutoka Ikulu kwa Rais Magufuli leo January 4… appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200603_164324.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AKUTANA NA RAIS DK. SHEIN, MANGULA NA DK. BASHIRU ALLY, IKULU YA CHAMWINO, DODOMA, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WSUIOjDRzb0/Xtep1DtcxOI/AAAAAAACL_4/5bH9DJUkA-U-MwW5Ug5ZQ_rkxbiFbCcJACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200603_164324.jpg)
Dk.CHAMW, Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli amekutana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein katika kikao cha ndani kilichofanyika Ikulu, Chamwino Mkoani Dodoma, leo.
Kikao hicho kimehudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti CCM Bara Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally ambapo viongozi hao wamezungumzia...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)
Dec 14 2015, Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alikutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan Masaharu Yoshida Ikulu jijini Dar es salaa ikiwa ni pamoja na kujadili kuhusu ujenzi wa mtambo wa kuzalisha umeme wa Kinyerezi namba mbili utakaozalisha megawatts 240 za umeme na utakaogharimu Dola za kimarekani milioni 344.2. Hii ndio video kutokea Ikulu, wawezakuitazama kwa […]
The post Rais Magufuli ndani ya Ikulu na ugeni kutoka Japan, mipango ya umeme ilivyojadiliwa..(+Audio)...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2RyjG8QpsI/Vnf4Iwcr8vI/AAAAAAAAsFg/TCTSW5o8NV4/s1600/tmp_22871-magu-237045258.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WlHURgwxfTU/Vnf8Iyaif2I/AAAAAAAAsF4/qDY4cCMOytw/s1600/tmp_25140-441627715366.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3Fz8tYeyt-c/Vnf8KIdhB-I/AAAAAAAAsGA/Qqfph0yUlcg/s1600/tmp_25140-1927664_10204112923663693_1225570115674240119_n942052400.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Er73vFzuxhU/Vnf8L4a_u9I/AAAAAAAAsGI/dg7340mlAuM/s1600/tmp_25140-1927664_10204112924063703_143893749029110821_n1595330905.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais Dkt.Magufuli amwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akisalimina na Makamu wake, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati aliwapowasili kwenye Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam, leo asubuhi Okt. 6, 2015 kwa ajili ya kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, aliyemteua jana Okt 5, 2015 mara tu baada ya kuapishwa rasmi. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha George...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ciVf_SDe9l4/VlxXvq23iuI/AAAAAAAIJRM/qJhjHDUc5CU/s72-c/jpk1.jpg)
RAIS MAGUFULI AONANA NA MABALOZI WA CHINA NA KOREA KUSINI, IKULU JIJINI DAR LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ciVf_SDe9l4/VlxXvq23iuI/AAAAAAAIJRM/qJhjHDUc5CU/s640/jpk1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nY9zGCMPklI/VlxXvwIvlXI/AAAAAAAIJRQ/reJAsWWFO8E/s640/jpk3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HpWUpCOvL84/VlxZsTNYkDI/AAAAAAAIJRo/s9U4_SP8D94/s640/jp1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s72-c/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN IKULU DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s640/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JVsBXBXaqTA/Vn7enLRejMI/AAAAAAAIOzE/zn9tnJa2Bm4/s640/9d38830b-ab53-4915-aebb-766571974852.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1l0wTMUOX2s/Vn7ennsdCkI/AAAAAAAIOzI/DjLZzyXmxr0/s640/c2008a24-502b-40de-82f2-0ab70c2d9c3c.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Ikulu, Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gJtI_YB3r8s/VngXWSpnvfI/AAAAAAAINug/ik6b4hQbhbs/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MAALIM SEIF SHARIF HAMADI IKULU JIJINI DAR LEO
![maa1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa1.jpg)
![maa2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/maa2.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2B%25282%2529.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://4.bp.blogspot.com/-nfUX-E5Clec/XmaKZeNpd6I/AAAAAAACIa0/6RIEMwB6628PxwSFijIpm5iycGJbOeLtwCLcBGAsYHQ/s400/1%2B%25282%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-X5LwC1ET4SA/XmaJbDyymlI/AAAAAAACIas/t1CuzCuCgcItkEQkKLF6Sli7lct5fJLlwCLcBGAsYHQ/s400/2%2B%25281%2529.jpg)