Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyerere hajaenziwa kwa vitendo —Warioba

Mwalimu Julius NyerereIKIWA leo ni miaka 15 tangu kifo cha Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, imebainika kuwa bado suala la haki na usawa ndani ya jamii ya Watanzania linakosekana na hivyo kushindwa kumuenzi vyema muasisi huyo wa taifa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Kamuzora: Wasomi wamuenzi Nyerere kwa vitendo

WASOMI nchini wametakiwa kutumia taaluma zao kubuni njia zitakazoleta suluhisho la matatizo na changamoto mbalimbali za wananchi na kuleta maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa na Naibu Makamu...

 

10 years ago

Mwananchi

Zanzibar wamuenzi Nyerere kwa vitendo, siyo porojo

Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, ametimiza miaka miaka 15 tangu kufariki dunia Oktoba 14, mwaka 1999.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba awasuta kwa Nyerere, vurugu zaibuka

Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Sinde Warioba jana alivamiwa na kikundi cha watu wachache waliohudhuria mdahalo wa Katiba wakati akihoji vitendo vya baadhi ya watu kutumia vibaya jina la Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awataja wasaliti wa Nyerere

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema wanasiasa wanaomtuhumu kwa kumsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, ndiyo wasaliti kwa kuwa waliingiza kwenye Katiba, mambo yanayokinzana na makubaliano ya Muungano huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Warioba ataja wasaliti wa Nyerere

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amedokeza kuwa kwa tabia na mwenendo wao, watawala wamemsaliti Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Jaji Warioba amekemea...

 

9 years ago

Raia Mwema

Tafakuri juu ya JK Nyerere, Warioba, CCM na Wapinzani

NILIMALIZIA makala yangu iliyopita kwa kutoa mawazo yangu kuhusu misimamo ya Jaji Joseph Sinde Wa

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba: Hata Nyerere angebadili mawazo kuhusu Serikali tatu

>Kazi ya miezi 20 ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba kukusanya maoni ya Watanzania na kutoa Rasimu ya Katiba itakayojadiliwa katika Bunge la Katiba na baadaye wananchi kuipigia kura ya maoni ili iwe Katiba imekamilika.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa Magufuli, vita dhidi ya mafisadi iwe kwa vitendo

WAHENGA walinena; nyota njema huonekana asubuhi.

Maggid Mjengwa

 

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo …

Bado siku 18 ili ifikie January 11 2016, siku ambayo tutashuhudia historia mpya ikiandikwa katika ulimwengu wa soka, kwani ndio siku ambayo tutamfahamu mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Dunia kwa mwaka 2015, November 30 2015 yalitangazwa majina ya Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Neymar kuwa ndio waliofanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya […]

The post Kuelekea Ballon d’Or, tujikumbushe kwa video ya washikaji wakiwachambua Messi na Ronaldo kwa vitendo … appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani