Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa Magufuli, vita dhidi ya mafisadi iwe kwa vitendo

WAHENGA walinena; nyota njema huonekana asubuhi.

Maggid Mjengwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na zilizo Kusini mwa Ikweta.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...

 

9 years ago

Raia Mwema

Patashika vita Rais Magufuli, IMF na mafisadi nguli [2]

KATIKA sehemu ya kwanza ya makala haya wiki iliyopita, tulitaja Sera za Shirika la Fedha la Kimat

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

Raia Mwema

Patashika vita Rais Magufuli, IMF na mafisadi nguli

TUNAWEZA kuifananisha hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Ma

Joseph Mihangwa

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli : Nitawafunga mafisadi kwa makufuli

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amewataka Watanzania wampe kura ili akiingia Ikulu akawafunge mafisadi kwa makufuli.

 

5 years ago

CCM Blog

WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO

  Na Mwandishi Wetu TaboraMkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wananchi wa Mkoa huo kuunga mkono juhudi za Serikali katika mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili hasa kwa wanawake na watoto.
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbunge CCM amjibu Magufuli kwa vitendo

Aliyekuwa mbunge wa Sikonge (CCM), Said Nkumba jana aliwajibu kwa vitendo viongozi wa chama hicho, wakiongozwa na mgombea urais wake, Dk John Magufuli ambao walimtuhumu kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika hapa kwamba amekihama tena chama hicho na kujiunga na ACT – Wazalendo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya ajira kwa watoto Tanzania

Licha ya serikali ya Tanzania kupiga marufuku watoto kufanyishwa kazi, tatizo hilo bado linadhihirika zaidi katika migodi

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS DK. MAGUFULI AWAPONGEZA WAISLAM KWA KUMALIZA MFUNGO WA RAMADHANI, AWASHUKURU KWA KULIOMBEA TAIFA DHIDI YA CORONA

DODOMA, Tanzania
RAIS Dk. John Magufuli amewapongeza Waislam wote nchini kwa kumaliza mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku akiwashuru kwa namna walivyoshiriki kuliombea Taifa hasa  katika kipindi hiki cha kukabilia na ugonjwa wa COVID-19.
Hayo yamesemwa leo (Jumapili, Mei 24, 2020) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, wakati akizungumza na waumini wa dini ya kiislam mara baada ya kumaliza kuswali sala ya Eid El Fitri katika Msikiti wa Gaddafi, jijini Dodoma. Pia Rais Dkt. Magufuli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani